Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
huyo si mke mwema, achana naye ikiwezekana mkimbie muachie chumba kaa mbali naye ila mwanao usimuachie, ukifanikiwa kwa hilo kuwa makini kutafuta mke mwingine
Ajuaye baba wa mtoto ni Mama; awakimbie wote ili mama ashike adabu yake!