Recent content by Dew Drop

  1. Dew Drop

    Bandari: Shoka haliwezi kukata mti bila ya mpini

    Hili mbona lipo wazi muda mrefu sana mkuu Bams,adui wa Tanganyika ni watanganyika wenyewe. Tunaishi na jamii ya kinafiki ambayo haija wahi tokea kiasi kwamba mpaka una shangaa hawa watu akili zao zipo timamu kisawa Sawa.
  2. Dew Drop

    USHAURI: NAOMBA TUMPE USHAURI WA DHATI MH. NAPE NNAUYE KUHUSU BANDARI.

    Watu wenye akili timamu walisha mpuuzia Nape muda mrefu sana,wenye akili ndogo ndo huwa wanamuona kama mtu mwenye akili timamu.
  3. Dew Drop

    Watanzania tunyamaze kabisa, kuhusu bandari tumelikoroga wenyewe tulinywe!

    Huo ndo ukweli mchungu ambao makada wengi wa chama Cha mapinduzi hawataki kuusikia, watanzania tumelea mfumo wa hovyo wa kiutawala wenye kulinda maslahi ya viongozi na sio umma Leo hii viongozi wamekuwa wakubwa kuliko umma ulio wapa madaraka mwisho wanauza Mali ya umma bila wasi wasi na hofu...
  4. Dew Drop

    Chief Security officer wa DP Word ambaye ni Mnyarwanda na kachero la NISS kuletwa kusimamia mifumo ya bandari

    Naona Paka ana mipango mingi ya kupata faida ya kiuchumi toka kwa taifa la vilaza wanao uza mali zao kwa kumfurahisha mwenyekiti wao.
  5. Dew Drop

    Bunge Hili Batili Lizuiwe Kujadili Chochote Kinachohusu Rasilimali za Taifa

    Katiba mpya ndo moyo wa taifa hili ifikie wakati tuweke utofauti wa itikadi pembeni bali kuangalia maslahi mapana ya taifa. Inasikitisha kuona kwamba Mali zilizopo Tanganyika zinauzwa na wageni uku wenye mali tukishangilia kwa kusifu na kuabudu ili kumfurahisha mwenyekiti wa chama na kikundi...
  6. Dew Drop

    Somo kwa serikali: Mtaala wa ‘The Law of Contract’ unapwaya

    Kuna bwana kasha wahi sema kwamba wanasheria wengi wa serikali ni goigoi na hii ni kutokana na ukweli kuwa wanapo shindwa makesi hukimbilia kubadilisha Sheria badala ya kukata rufaa,sasa wakikutana na wanasheria nguri kutoka nje ambao hawa tegemei mfumo kuwabeba Wana shindwa.
  7. Dew Drop

    Alichofanya Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 matunda yake ndo tumeanza kuyaona jana terehe 10/6/2023

    Kaburu Botha alisha wahi sema kwamba "mwafrika hawezi kujitawala" Ifikie muda tukubali kwamba waafrika siku tukishimda vita juu ya ubinafsi tutakuwa tumepiga hatua muhimu sana katika bara letu.
  8. Dew Drop

    Tanganyika ilimezwa na Tanzania ndio sababu tuna Tanzania Bara na Tanzania Visiwani halafu kuna Zanzibar, hivi ni vitu vitatu tofauti!

    Tanganyika iliuzwa na watanganyika wenyewe kwa maslahi ya kisiasa na tamaa ya madaraka kama ilivyo jadi na desturi ya viongozi wa Afrika
  9. Dew Drop

    Kikundi cha Mamluki chaandaliwa kumshambulia Mbowe kwenye vyombo vya Habari kisa kaitaja Zanzibar kutohusika na Mkataba wa Bandari

    Mwenyekiti Mbowe kamatia hapo hapo, watanganyika sasa ni muda wa kuona umuhimu wa hoja ya kundi la G 55 kuhusu Tanganyika
  10. Dew Drop

    Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam

    Taifa hili ni mali ya watu wachache wengine tupo kusindikiza tu watu wanao faida [emoji513] ya taifa.
  11. Dew Drop

    Suala la Bandari tukubali tunahitaji msaada

    Hoja yako na mawazo yako yapo sambamba na mawazo ya Pasco Mayalla
  12. Dew Drop

    Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar

    Wazenjibia wanaiuza Tanganyika kwa waarabu hivi hivi,nchi ngumu sana hii
  13. Dew Drop

    5 Bora ya Familia zinazoliongoza taifa kwa sasa

    Taifa hili linakwenda shimoni kwa tamaa ya madaraka ya watu wachache
  14. Dew Drop

    TPA: Serikali haijaipa DP World Kandarasi ya undeshaji Bandari ya Dar es Salaam kwa Miaka 100

    Cha Cha mboga mboga kinapaswa kuachia hii nchi maana wanauza nchi kwa maslahi ya matumbo Yao na sio umma wa Watanzania. Alafu hawa wanao jiita mamlaka ya bandari toka lini wamekuwa wasemaji wa serikali ? Waache ujinga watanzania sio wapumbavu.
Back
Top Bottom