Karibu Jamii Forums bwana mdogo, pole kwa kufanyiwa dhiaka humu jamvini maana C6 ndiyo kaka mkuu humu JF tech lakini usife moyo we kaza mwendo.
utafika tu KRAPKA DAVINOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!
We mjinga Wamavoko sasa unalingia kidubwana cha waasia kupata access wakati ulimkandia jamaa hapo juu kuwa hakuna kauchochoro tukaamua kula kimya we kujua tu kuwafyonza Airtel tayari umeripuka na screen zako uchwara KRAPKA DAvINOOO
Bora umekiri kwamba kuna watu nyuma yako maana kiuhalisia hicho kishubaka ni kazi ya wale jamaa wa Bara Asia, mlichofanya ni copy & paste na kubadili muonekano tu ili isiwe rahisi wengi kuking'amua.
Katika sinia lako lazima kina chief-mkwawa, Shaffin Simbamwene, @C6, Joe Nyandigira, Nyasiro...
.
Nilijua wataibuka watu kama wewe eti Authetication code upuuzi mtupu!! Nyie ndo mnafanya maisha yawe magumu kwa ujinga wenu, kama una trik kamua kivyako KRAPKA DAVINOOOO
Kama kuna watu wanasubiri wenzao wasonge ugali ili wadowee wewe ni miongoni mwao usiwe mwepesi kutoa "karibu" kwa kitu usichokitolea jasho KRAPKA DAVINOOOO
Unlimited ya ukweli utapata kwenye machimbo tu so usitegemee bundle isiyo na limitation. Michepuko ipo tele kwa wenye akili voda na airtel wote wanapenyeka kirahisi KRAPKA DAVINOO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.