Mshobaa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,716
- 680
Yaani kuna vichwa jf kama shaniff simbamwene ameniambia maneno ya akili sana wengine wanataka tu wajue wataipata wapi na kuiistallation vp bahadae wakishajua kwishaaa
haha kwa hiyo umesalimu amri
Yaani kuna vichwa jf kama shaniff simbamwene ameniambia maneno ya akili sana wengine wanataka tu wajue wataipata wapi na kuiistallation vp bahadae wakishajua kwishaaa
nadhani thread hii imeshika sawa mkuuhaha kwa hiyo umesalimu amri
mkuu kuna mtu sijui nia yake ila anafuta sana thread zangu kama hii imefutwa, ila huyu mod aangalie sana akwenda jf kufanya anavyotaka kazi kama haijui aondokehaha kwa hiyo umesalimu amri
Karibu Jamii Forums bwana mdogo, pole kwa kufanyiwa dhiaka humu jamvini maana C6 ndiyo kaka mkuu humu JF tech lakini usife moyo we kaza mwendo.Nafanya window 8 kwa bei nafuu sana sana nakukupa cd ya window8 2014 septembar na pin zake yoyote anae hitaji
Acheni dharau KRAPKA DAVINOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!mkuu uko wapi? nataka unifanyie windows. unafanyia sh.ngapi?
Teh teh teh.. Siamini ninachokisoma hapa. C6 unaulizwa specifics . Mtajie usaidiwewindow ipi unataka au swali rahisi iyo mashine yako unaifanyia kazi gani yaani kompyuta, kuna shughuli nyingi unaitumia kama studio? Editing,au ofcn yaani mtu wa microsoft word? Pia mashine yako ina uwezo gani? Angalia ram,cpu,hard disk inawezekana nikakushauli tupige xp tu
Huyu jamaa anatishia hapa kuweka Windows kwamba ni bonge la kazi ngumu, usikute amejifunza kwa msela wake tu, hapa namkela tu coz inaelekea hajui anachokifanya sasa tangu lini wakaweka Windows kwa 50,000??
sasa wewe kaka mkuu hebu nisaidie maana imekuwa kero, kwanini inakuwa hivyoo huyu mod , anataka nini mbona simuelewiii, inawezekana ajui kazi yake sasa amepatikanaje mpaka kuwa mod' uwongozi uko wapi atambue wenzake wamebuni softwere waendeshe maisha ndio hii jf sio yeye kuja kuwahalibia, c6 hebu nijibu hili kakaKaribu Jamii Forums bwana mdogo, pole kwa kufanyiwa dhiaka humu jamvini maana C6 ndiyo kaka mkuu humu JF tech lakini usife moyo we kaza mwendo.
utafika tu KRAPKA DAVINOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!
uiiiii mkuu rahisi ghali unashusha mzigo sawa bahada ya wiki mashine kama imefugwa mawe nzito pia hii windows yangu mpyaa ya septembar 2014 bc nikupigie windows vista
Ilifutwa mayb because hautakiwi kupost tangazo la biashara hapasasa wewe kaka mkuu hebu nisaidie maana imekuwa kero, kwanini inakuwa hivyoo huyu mod , anataka nini mbona simuelewiii, inawezekana ajui kazi yake sasa amepatikanaje mpaka kuwa mod' uwongozi uko wapi atambue wenzake wamebuni softwere waendeshe maisha ndio hii jf sio yeye kuja kuwahalibia, c6 hebu nijibu hili kaka
heeee mara yameshakuwa hayooooo tena !!!Karibu sana mkuu wa windows 8, naomba pia uje unifanyie yangu maana naona kama haijafanywa siku nyingi mkuu
ok sasa itakuwa wapi mkuu mbona hata katika jukwaa la biashara aipo mkuuIlifutwa mayb because hautakiwi kupost tangazo la biashara hapa
sasa wewe kaka mkuu hebu nisaidie maana imekuwa kero, kwanini inakuwa hivyoo huyu mod , anataka nini mbona simuelewiii, inawezekana ajui kazi yake sasa amepatikanaje mpaka kuwa mod' uwongozi uko wapi atambue wenzake wamebuni softwere waendeshe maisha ndio hii jf sio yeye kuja kuwahalibia, c6 hebu nijibu hili kaka
kweli kabisa ilo nililiona ila nashidwa ku edit ila nilijua kwa watu wanaojua kama wewe watajua kosa lilipo,kati ya watu 50 wewe ndio wa kwanza kugundua kosa wewe kichwaa mkuuhalafu fanya kuedit hiyo title ww huwezi kutengeneza windows may be andika nafanya installation ya windows 8. ila wewe umesema unatengeneza rekebisha
sasa mkuu inawezekana kweli wana jf ndio uwa wanazifuta ,sasa wanazifutaje? Hebu nijuzeunataka mod afanyeje sasa je azuie watu wasitie comment kwenye post yako? hilo haliwezekani
angekuwa mtu kakutukana labda mod ndo ungemlaumu
lakini usife moyo hii ndo jf xtcs za binadamu wote zipo humu
mkuu si hivyo unavyofikiri sivyo kuna mtayalishaji mmoja wa muziki nimemfanyia iyo installation na anafanya kazi zake za mziki na filamu ndio maana nikaawaambia kwa bei easy najua uwezi kuamini sababu si shughuli ya kitoto windows 8 kwani wrngi wanjua sana 7 na xp hapa mpaka vista na linux napiga