Recent content by DEVINE

  1. DEVINE

    Jipime na huyu dogo!

    Huy mtmt Noooma! Big up
  2. DEVINE

    Anatafuta mume!

    CV ni muhimu,hebu tuambie unauzoefu wa muda gani? umeachika mara ngapi? umetembea na wanaume wa namna gani? na unamtaka nani? we ni mrefu kiasi gani? rangi yako ikoje? kwa hayo inatasha kukuchukua au la
  3. DEVINE

    UCHAGUZI mkuu JF

    kweli kabisa
  4. DEVINE

    charminglady pokea zawadi ingawa hunipendi

    Wns hapo umependa na unakataliwa sasa laiti ungependa na ukapewa limbwata ungehonga mpaka nguo za ndani.
  5. DEVINE

    Mwanamke utajisikiaje/jihisije/chukuliaje..........

    Hapo ukiendekeza sana hayo mambo mwanamke atakupanda kichwani.
  6. DEVINE

    Nawauliza wanaochukua ITM,ITS na ITB mzumbe

    sio mimi ni mdogo wangu kachaguliwa ITB sasa ningependa kujua hayo maswali hapo juu.
  7. DEVINE

    Nguo za mistari mistari(Zebra) za kina dada zinaboa!!!

    Chamuhimu figure mambo ya nguo ina rangi gani ya aina gani sina muda.
  8. DEVINE

    Enzi za utoto wao.{magamba hawaaminiani}!.

    Unamaanisha magamba hawatimizi viapo vyao na hawapendi kusubiri kumbe.
  9. DEVINE

    Wewe unaogopa mnyama gani?

    Binafsi siogopi hata nyoka wala simba ila kuku ukiniletea sikai kwa amani labda awe amesha iva. Wewe unaogopa mnyama gani zaidi?
  10. DEVINE

    Dakitari oyeeeeee

    Duh hahaha
  11. DEVINE

    Mtu yeyote asisome.

    are you robot DJAYZZY
  12. DEVINE

    Nawauliza wanaochukua ITM,ITS na ITB mzumbe

    Naomba niwaulize.Je wanaochukua ITB,ITM,na ITS pale Mzumbe.,mwaka wa kwanza wanaenda field? Na pili tofauti ya kozi hizo ni zipi?
  13. DEVINE

    Mademu wengi wanateseka juu yangu...

    Ndoto zalinacha
Back
Top Bottom