Hayati Privatus Mutekanga Karugendo: 1956-2021
Tangu mwaka 1990 nilipokuwa kidato cha tatu katika Seminari ya Katoke (Biharamulo) hadi leo nimemfahamu Hayati Privatus Mutekanga Karugendo (65) chini ya kofia tofauti.
Nimemfahamu kama mwanateolojia, mwanafalsafa, mchambuzi wa masuala mtambuka...
Mgombea Ubunge wa Chadema Karagwe, Adolf Mukono, wagombea udiwani Kata za Chanika na Kituntu wakamatawa na Jeshi la polisi
“Tumewakamata baada ya kupata malalamiko kutoka upande wa CCM wakidai kwamba Chadema hawana ratiba ya kufanya kampeni zozote katani Chanika. Tulipomwuliza Msimamizi wa...
Asemavyo Nyerere kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 2020 katika kitabu chake cha "TANU na Raia"
Miezi nane kabla ya 9 Desemba 1962, siku ambayo Tanganyika ilitangazwa kuwa ni dola ya kijamhuri, yaani mwezi wa April mwaka 1962, hayati Julius Kambarage Nyerere aliandika kitabu chenye kurasa 8 kiitwacho...
USULI
Uchaguzi Mkuu huzalisha vitendawili vingi vinavyopaswa kujibiwa na wapiga kura katika harakati zao za kusimamia ujenzi wa jamii inayowajibika kisiasa, kiuchumi na kijamii. Kitendawili kimojawapo ni swali lifuatalo: Kati ya Taifa linalotekeleza sera ya kutenganisha kofia ya kisiasa na...
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Jimbo la Karagwe, Mkoani Kagera, Ndg. G.M. Kitonka
Mhe. Dk. Wilson Charles Mahera,
Mkurugenzi wa Uchaguzi,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),
Dodoma,
YAH: KUENGULIWA KIHUNI KWA AMOS PETER KAHWA, MGOMBEA UDIWANI KATA YA KAYANGA, WILAYANI KARAGWE, MKOANI KAGERA
Somo...
Mpango uliopo ni kutumia utaratibu wa PPP, yaani ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi.
Sekta binafsi itachangia kama mwekezaji.
Wawekezaji wa ndani na nje watakaribishwa.
Serikali itachangia kama mmiliki wa mradi.
Usuli
Kwa mujibu wa Kanzidata ya Kimataifa kuhusu Majanga Asilia yaliyotokea tangu mwaka 1990, Tanzania inakabiliwa na hatari ya majanga asilia yafuatayo, frikwensi zake zikiwa zimeonyeshwa katika mabano: mafuriko (62.2%), ukame (13.3%), tetemeko la ardhi (11.1%), kimbunga (8.9%), moto wa...
Hadhira yangu ni watu wenye uwezo mkubwa wa kusoma kurasa 22 za A4 zenye font size ya pointi 12 kwa saa moja.
Wasomaji wenye uwezo mdogo tumeshawaandikia zao via MwanaHalisi Online na Raia Mwema.
Vinginevyo, ukisoma Usuli mwanzoni kabisa inatosha.
Usuli
Kwa mujibu wa Kanzidata ya Kimataifa kuhusu Majanga Asilia yaliyotokea tangu mwaka 1990, Tanzania inakabiliwa na hatari ya majanga asilia yafuatayo, frikwensi zake zikiwa zimeonyeshwa katika mabano: mafuriko (62.2%), ukame (13.3%), tetemeko la ardhi (11.1%), kimbunga (8.9%), moto wa...
Je, ni sahihi kwa Taifa kuingia gharama za uchaguzi katika maeneo ambako asilimia 99.9 ni wagombea wa CCM pekee?
Narejea takwimu rasmi za serikali zilizotolewa na Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Jaffo. Alise kuwa CCM walisimika wagombea kwa 74%, CHADEMA wakasimika wagombea kwa 19%, CUF wakasimika 4%...
.
Ndugu yangu, wakulima hawajalipwa stahiki zao.
Lakini, tatizo hilo halituzuii kuhamasisha uwekezaji, na hasa uwekezaji wa kuendeleza kahawa yenyewe.
Tunahamasisha uwekezaji bila kufumbia macho dhuluma iliyotendeka.
Unajua kwa nini malipo ya kahawa yanakuwa magumu?
Tutafakari pamoja kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.