Ofisi za serikali nyingi zina shida sana.. ukiwa na tatizo la haraka kusaidika n mpaka uwe na mazingira fulani.
Watakuja weny uelewa zaid utasaidika ndugu
😂 Kumekucha.. yan kwa ulivyomtafsiri mbunge kirahisi hapo sidhani kama kungekuwa na umuhimu wa wabunge wa majimbo serikalini! Yan wangekuwa wanakutana wenyekiti na wangepaza sauti vizur kabixa kama ndio wabunge kazi yao n kupaza tu sauti...
We ndug yang kama n mkazi wa kigamboni mpe mitano...
Huyu ye mwenyew watu wa kigamboni tushamchoka..! Tangu naanza kujielewa si chini ya miaka 10+ nasikia yeye ni mbunge wa huku kigamboni! lakin kila siku kigambon ipo vilevile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.