Recent content by DesignerChibu

  1. DesignerChibu

    JamiiForums Tanzania Nikilipia kupata blue tick mtandao wa X (Twitter) naweza kuipata baada ya muda gani?

    Aseeh.. kuna watu mna pesa mpaka pakuzitumia panakosekanika, af kuna mie ambae hata kazi sina Daah.🙌
  2. DesignerChibu

    JamiiForums Tanzania Serikali imchukulie hatua Baba Levo kwa Kuwadhalilisha Walimu

    Walimu wenyew sasa baada ya kuambiwa ukweli..😂🙌 Mwalimu umesikika tayar we kalale tu
  3. DesignerChibu

    JamiiForums Tanzania Ombi, ushauri au ufafanuzi ofisi za NACTE ofisi za Dar es Salaam

    Ofisi za serikali nyingi zina shida sana.. ukiwa na tatizo la haraka kusaidika n mpaka uwe na mazingira fulani. Watakuja weny uelewa zaid utasaidika ndugu
  4. DesignerChibu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Ndugulile: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, siungi Mkono kupita bila kupingwa

    😂 Kumekucha.. yan kwa ulivyomtafsiri mbunge kirahisi hapo sidhani kama kungekuwa na umuhimu wa wabunge wa majimbo serikalini! Yan wangekuwa wanakutana wenyekiti na wangepaza sauti vizur kabixa kama ndio wabunge kazi yao n kupaza tu sauti... We ndug yang kama n mkazi wa kigamboni mpe mitano...
  5. DesignerChibu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Ndugulile: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, siungi Mkono kupita bila kupingwa

    Huyu ye mwenyew watu wa kigamboni tushamchoka..! Tangu naanza kujielewa si chini ya miaka 10+ nasikia yeye ni mbunge wa huku kigamboni! lakin kila siku kigambon ipo vilevile
Back
Top Bottom