Recent content by Designated

  1. Designated

    Huyu binti ananipaka nuksi, naonekana nipo naye kumbe sipo naye

    Tatizo lilianzia hapo, ndo kutongoza gani huko kama mpo sekondari. Mara nikampigia simu, mara nikamkumbusha. Aliyekwambia kuna demu single nani, siku hizi ANAINGIA MTU, ANATOKA MTU.
  2. Designated

    Mwanaume kamili utapanda hizi ngazi kwa style gani?

    Kwani lazima kupanda haraka..! Mi ningepumzika ngazi namba 16 kwanza
  3. Designated

    Wanaume, zingatieni sana jibu la kwanza mnalopewa mnapotongoza ili kumpata mwenye mapenzi ya dhati

    Wanawake wakiwa na shida ya pesa wanaanza kupitia phonebook na sms ambazo hawakujibu
  4. Designated

    Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

    Kuna majukwaa ya simulizi nendeni huko na chai zenu. Ukienda MMU ukaweka stori ya uongo tutakwambia CHAI
  5. Designated

    Changamoto za Smart TV.

    Smart Tv ndio zile flat, mi nazipenda sio nzito, unabeba huku unapeleka kule. Changamoto yake hazina sehem nyingi za kushikashika kama zile za chogo.
  6. Designated

    Tutafutane hapa jamani

    Jina: Njaa kali Umri: kwani lazima Natafuta: Mualiko wa pasaka
  7. Designated

    Kweli nimeamini, ukimfadhili mwanamke usitegemee kwamba atakuja kukusaidia wakati wowote

    Wasaidiane nini..! Mtu akisoma ujumbe wangu asipojibu, baada ya siku 1 nafuta namba kabisa.
  8. Designated

    Muamala wanipatia mke

    Hii mbona kama chai:- 1. Wakati una njaa sana ukapokea muamala wa 150,000. Pamoja na njaa yako kali ukarudisha pesa yote. Katika hali ya kawaida ungeomba hela ya kula tu, hasa ukizingatia alishakuomba urudishe angalau 100,000 2. Kurudisha pesa yote 150,000 bila gharama za makato. Kumbuka...
  9. Designated

    Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

    Mkuu, kama ana bima kwa nini umetumia cash? Mkuu kama kweli una nia ya kumsaidia, muite mkalishe chini umueleweshe. Kuna watu hawako smart lakini ni wasikivu. Hayo mapungufu yake uliyoyaoma mueleze. Inawezekana hao jamaa watatu walomuachia watoto ni kama wewe. Unaona mapungufu ya mwenzako...
  10. Designated

    Huu ni upendo, utu wema au mtego?

    Ambacho umesahau ni kwamba mara ya kwanza ulikuta bidhaa ina mapungufu, hilo ni doa kwenye biashara yake. Ukaondoka na kurudi siku nyingine; hapo umepoteza muda na gharama za usafiri. Amefidia kwa kukupa bidhaa ya nyongeza ili uendelee kuwa mteja wake. Hiyo ni akili ya biashara. Hata hivyo...
  11. Designated

    Busara kidogo inahitajika katika hili

    Sio kila stori ina pande mbili. Jamaa kamtelekeza mwanamke na mimba. Halafu akaja kumtafuta mtoto baada ya miaka zaidi ya 20. Hakuna sababu zitakazokua na mashiko, just lame excuses.
  12. Designated

    Hii nchi ngumu kweli, eti mtu kashaliwa kichwa

    Hizi sasa stori, lazima kutakua sababu ya kuachwa. Badala ya kulalamika jifunze nenda uka certify vyeti.
  13. Designated

    Nini suluhisho ya mahusiano yanakunyima amani ya moyo?

    Ukiona mahusiano hayakupi amani na furaha basi ujue huyo si chaguo lako, au umemchoka
  14. Designated

    Looking for a friend only for chatting

    Mimi niunganishe na girlfriend wako ili tuwe marafiki tu na kuchat kama unavyotaka wewe.
  15. Designated

    Nimepewa zawadi ya Condom na rafiki yangu wa kike

    Mume wake amesafiri. Amekupa zawadi ya Condom.
Back
Top Bottom