Tatizo lilianzia hapo, ndo kutongoza gani huko kama mpo sekondari. Mara nikampigia simu, mara nikamkumbusha. Aliyekwambia kuna demu single nani, siku hizi ANAINGIA MTU, ANATOKA MTU.
Hii mbona kama chai:-
1. Wakati una njaa sana ukapokea muamala wa 150,000. Pamoja na njaa yako kali ukarudisha pesa yote. Katika hali ya kawaida ungeomba hela ya kula tu, hasa ukizingatia alishakuomba urudishe angalau 100,000
2. Kurudisha pesa yote 150,000 bila gharama za makato. Kumbuka...
Mkuu, kama ana bima kwa nini umetumia cash?
Mkuu kama kweli una nia ya kumsaidia, muite mkalishe chini umueleweshe. Kuna watu hawako smart lakini ni wasikivu. Hayo mapungufu yake uliyoyaoma mueleze. Inawezekana hao jamaa watatu walomuachia watoto ni kama wewe. Unaona mapungufu ya mwenzako...
Ambacho umesahau ni kwamba mara ya kwanza ulikuta bidhaa ina mapungufu, hilo ni doa kwenye biashara yake.
Ukaondoka na kurudi siku nyingine; hapo umepoteza muda na gharama za usafiri. Amefidia kwa kukupa bidhaa ya nyongeza ili uendelee kuwa mteja wake. Hiyo ni akili ya biashara.
Hata hivyo...
Sio kila stori ina pande mbili. Jamaa kamtelekeza mwanamke na mimba. Halafu akaja kumtafuta mtoto baada ya miaka zaidi ya 20.
Hakuna sababu zitakazokua na mashiko, just lame excuses.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.