Gustavo Gaviria
JF-Expert Member
- Nov 19, 2018
- 630
- 1,109
Mods nimekosea jukwaa, naomba mhamishe kwenye jukwaa la Tech.
Wadau kwema?
Ninahitaji kuchukua Smart TV, aina ya Star X inch 43
Ninaomba ushauri kuhusu ubora wake na changamoto zake na namna ya kuzitatua, kwa maana za kusikia ni kwamba smart tv huwa zinastack inapoanza kuwaka, ja ninahitaji kupata ukweli, ili niwe na ufahamu mzuri ninapokwenda kununua...maana kahela kangu ka kujichanga sana.
mchango wenu muhimu sana.
Wadau kwema?
Ninahitaji kuchukua Smart TV, aina ya Star X inch 43
Ninaomba ushauri kuhusu ubora wake na changamoto zake na namna ya kuzitatua, kwa maana za kusikia ni kwamba smart tv huwa zinastack inapoanza kuwaka, ja ninahitaji kupata ukweli, ili niwe na ufahamu mzuri ninapokwenda kununua...maana kahela kangu ka kujichanga sana.
mchango wenu muhimu sana.