Recent content by Desierto

  1. Desierto

    JamiiForums Tanzania Mtu akifika tu bei nauzaga kitu changu bila kupanga

    Kwa mfano kwa huu mwaka tu hii simu Ni ya 20+ nikiwa na kitu changu mtu akiniuliza tu anipe bei gani huwa namuuliza yeye anatoa bei gani. Kwa mfano Kuna siku niliuza simu nikaweka line mfukoni. Je? Na nyinyi huwa mnafanyanje mtu akikuuliza hicho kitu chako akutoe ngapi?
  2. Desierto

    JamiiForums Tanzania Kwa taarifa nilizonazo ilikuwa inapigwa simu pale mlimani city

    Ila ndo hivo watu wakamwaga mboga. Wao si wamemwaga ugali. Hii miaka mitatu ni mingi sana. Pia pia alikuwa anatazama live.
  3. Desierto

    JamiiForums Tanzania Je, Taifa moja linaweza kuwa mbumbu wote?

    Jibu ni ndiyo, hii inaanzia katika familia unaweza kuta familia moja ya watoto 8 wote wakawa vilaza, inaenda mtaa wote ni vilaza, unaenda wilaya wote ni vilaza, unaenda mkoa wote ni vilaza, unaenda nchi nzima wote ni vilaza Najua vilaza wenzangu mtakuja kunishambulia, Hebu tufananishe taifa na...
  4. Desierto

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu anamjua babu yake na Mwalimu Julius Nyerere?

    Nimetafakari tu kuhusu kuzaliwa kwetu tunajua tu mwisho wazazi wa wazazi wetu ila mababu wa mababa zetu. Ni giza totoro. Hatujui chochote.
  5. Desierto

    JamiiForums Tanzania Nimeota nafanya kazi ya kujitolea ya kusafisha mitaro

    Kama mada inavojieleza hapo juu nimeota nasafisha mitaro ya barabarani Ila wapita njia walikuwa wananipa moyo na kunifariji kuwa hivi karibuni naweza kupata tuzo au faida kubwa kwa kazi hiyo ya kujitolea. Mimi pia nilikuwa naifurahia kwani nilifanya kwa bidii pia juzi kama siku tatu zimepita...
  6. Desierto

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wa kiislamu katika media hawana propaganda

    Rahyab mchambuzi Bora wa muda wote
  7. Desierto

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua tofauti ya thamani ya pesa ya Tanzania na Kenya

    Ipo hivi mm ni fundi electronics Kuna wakati naangalia mfano fundi wa Kenya akiunda amplifier anauza Kwa ksh3,500 Hadi 4,000 Lakini Mimi nikisema niunde amplifaya kama hiyo hiyo najikuta namtumia zaidi ya TSH 15,0000 ambapo itakulazimu uuze zaidi ya laki mbili Je shida ipo wapi au wenzetu...
  8. Desierto

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kama Kuna mbinu za kukwepa kifo Cha mapema

    Sijachanganyikiwa lakini nimefikiria TU maana sielewi kuishi ni bahati au Kuna Nini. Mbona Toka kuzaliwa kwangu nimezika na kusikia misiba mingi. Je? Kuishi ni bahati TU. Maana kama mabasi nimepanda Sana pikipiki boti kutembea Kwa miguu barabarani kuogelea nk. Kwanini Bado naishi?
  9. Desierto

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    moto umewaka tena hukoo
  10. Desierto

    JamiiForums Tanzania Nilizidisha maringo kwake, nilichoambulia ni tusi la nyukilia

    katika ongezeko la 34% la wavuta bangi lililotajwa bungeni nafikiri na wewe umo hakika.
  11. Desierto

    JamiiForums Tanzania Nilizidisha maringo kwake, nilichoambulia ni tusi la nyukilia

    katika ongezeko la 34% la wavuta bangi lililotajwa bungeni nafikiri na wewe umo hakika.
  12. Desierto

    JamiiForums Tanzania Kuna watu mpaka leo hawajui kwanini wanaohudhuria mikutano ya CCM huenda na mabegi mgongoni

    Niwasanue au niwaache tu. Dunia ina siri ila hii ya kwao tushaisanukia😁 yaani wanatoka na begi la nguo za kijani wakifika wanabadilisha mkutano ukiisha wanazivua na kuficha kwa mabegi.
  13. Desierto

    JamiiForums Tanzania The Voices From Within:Kilichotokea Oct. 29 Japo Anayeonekana ni Yeye Kumbe Si Yeye Kuna Watu Hawakutimiza Wajibu Wao Ndio Wamemponza, Tumsamehe Tuu?

    maneno yake tu anamaanisha alijua kila kitu. kwanza alisema sio wa tz. pili mlitaka jeshi liwatazame tu. tatu kwanini wazazi hawakuwazuia vijana wao waende huko. nne nguvu iliyo tumika iliendana na tukio. tano hjakubali kwamba yale yalikuwa ni mauji vali anasema zilikuwa vurugu. na mwisho...
  14. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    hata hivo sio pesa mkuu kwa maana ni tv ilipasuka kioo sasa gharama ya kioo ni 150 hivo hapana mkuu kwanza mm huwa najisikia amani sana kumlipa mteja ili kila mtu abaki na amani yake ila hii kidogo imekuwa ngumu ndo maana nikaomba ushauri
  15. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    hata hivo sio pesa mkuu kwa maana ni tv ilipasuka kioo sasa gharama ya kioo ni 150 hivo kesho ndo nilikuwa nikamuwekee kioo cha tv yake
Back
Top Bottom