Nipo kitandani na mke wangu ila kuna kitu kimenistua. Baada ya kustuka usingizini mke akaamka kumkojolesha mtoto.
Cha ajabu imenichukua dk kama 10 kukumbuka jinsi la mtoto wangu ana miaka 2
Hii ni hali ya kawaida au maana nilijaribu kukumbuka ila kumbukumbu zikanigomea kwa haraka nikashindwa...
Vipi ulijisikiaje yaani unajikuta hujatarajia na hauna hela siku hiyo ila mara paap! Unaingiza mkono mfukoni kisha inakutana na hela ambayo hukumbuki ulioweka lini.
Nimepata mdau ameniomba aweke mtaji kwenye ofisi yangu kesho ndo nataka nikamsikilize.
Ila ni kuongeza bidhaa ofisini
Mm plani yangu ni kama ataongeza mtaji basi nilitaka nimwambie mtaji wake tuweke kwenye simu ndogo za batani radio za kuchajisha na sabufa zisizo zidi Bei ya 120
Na bidhaa...
Huu msala omba tu usikukute aisee unaweza kuondoka na Mali zako zingine ambazo hata hazihusiani kabisa na wizi.
Mimi kwa mara ya kwanza nimekutana na huu msala nimenunua tv nch43 nimenunua ikiwa mbovu kioo ili nivune spea almanusura inipeleke ndani.
Japo muhusika au mwenye Mali kasema ilikuwa...
Akitaka utawala wa familia yake ueendelee ni amwachie mtototo wake madaraka sasahivi akiwa hai.
Lakini akisubiria mpaka afe ndo utakuwa mwisho wa utawala wa familia yake.
Mfano ni ya Mugabe kufia madarakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.