Recent content by Desierto

  1. Desierto

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    moto umewaka tena hukoo
  2. Desierto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilizidisha maringo kwake, nilichoambulia ni tusi la nyukilia

    katika ongezeko la 34% la wavuta bangi lililotajwa bungeni nafikiri na wewe umo hakika.
  3. Desierto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilizidisha maringo kwake, nilichoambulia ni tusi la nyukilia

    katika ongezeko la 34% la wavuta bangi lililotajwa bungeni nafikiri na wewe umo hakika.
  4. Desierto

    JamiiForums Tanzania Kuna watu mpaka leo hawajui kwanini wanaohudhuria mikutano ya CCM huenda na mabegi mgongoni

    Niwasanue au niwaache tu. Dunia ina siri ila hii ya kwao tushaisanukia😁 yaani wanatoka na begi la nguo za kijani wakifika wanabadilisha mkutano ukiisha wanazivua na kuficha kwa mabegi.
  5. Desierto

    JamiiForums Tanzania The Voices From Within:Kilichotokea Oct. 29 Japo Anayeonekana ni Yeye Kumbe Si Yeye Kuna Watu Hawakutimiza Wajibu Wao Ndio Wamemponza, Tumsamehe Tuu?

    maneno yake tu anamaanisha alijua kila kitu. kwanza alisema sio wa tz. pili mlitaka jeshi liwatazame tu. tatu kwanini wazazi hawakuwazuia vijana wao waende huko. nne nguvu iliyo tumika iliendana na tukio. tano hjakubali kwamba yale yalikuwa ni mauji vali anasema zilikuwa vurugu. na mwisho...
  6. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    hata hivo sio pesa mkuu kwa maana ni tv ilipasuka kioo sasa gharama ya kioo ni 150 hivo hapana mkuu kwanza mm huwa najisikia amani sana kumlipa mteja ili kila mtu abaki na amani yake ila hii kidogo imekuwa ngumu ndo maana nikaomba ushauri
  7. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    hata hivo sio pesa mkuu kwa maana ni tv ilipasuka kioo sasa gharama ya kioo ni 150 hivo kesho ndo nilikuwa nikamuwekee kioo cha tv yake
  8. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    lakini hicho kifaa ni cha muhimu zaidi mkuu bila hicho hata nifunge ofisi ni sawa tu au kuna mtu anaweza nisaidia hizi raba za pump ya hot air gan yangu imekufa
  9. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    laki na nusu tu mkuu
  10. Desierto

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa haraka nilipe deni au nikanunue kitendea kazi

    Nadaiwa 150 na nilikubaliana na mdeni namlipa hela yake tarehe 3 mwezi huu wa 6. Hela nimepata ila kifaa cha ofisini kimekufa leo leo na spea kupafa ni mpaka niagize chini haizidi 40 ila pia kifaa kama hicho hapa mjini wanauza 150. Hiki kifaa bila kuwepo ofisini ni sawa tu na nimefunfa ofisi...
  11. Desierto

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    hatimae pepo limemtoka mgonjwa sasa madogo nao ni furaha yetu upendo umerudi
  12. Desierto

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    vijana tunawapenda ila pepo aliye waingilia lazima atoke kwa viboko japo ni lazima nyinyi muumie pia ila yeye ataumia zaidi maana amefanya miili yenu kuwa makao yake.
  13. Desierto

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    sina shida na madogo shida yangu sitaki sipendelei machawayaliyojazana kwenye ndege. halafu swala la kufumuliwa oktoba mbona ni la kawaida tu unamtanguliza mwenzako jela wakati na wewe lazima utaenda huko
  14. Desierto

    JamiiForums Tanzania Full Time | Senegal 1-1 Tanzania | TotalEnergies AFCON U-17 | Senegal Mabigwa baada ya mikwaju ya penati 4-2

    sijui kwanini nimefurahi baada ya goli kusawazishwa😁 ila moyo dah!
Back
Top Bottom