Niwasanue au niwaache tu.
Dunia ina siri ila hii ya kwao tushaisanukia😁 yaani wanatoka na begi la nguo za kijani wakifika wanabadilisha mkutano ukiisha wanazivua na kuficha kwa mabegi.
maneno yake tu anamaanisha alijua kila kitu.
kwanza alisema sio wa tz.
pili mlitaka jeshi liwatazame tu.
tatu kwanini wazazi hawakuwazuia vijana wao waende huko.
nne nguvu iliyo tumika iliendana na tukio.
tano hjakubali kwamba yale yalikuwa ni mauji vali anasema zilikuwa vurugu.
na mwisho...
hata hivo sio pesa mkuu kwa maana ni tv ilipasuka kioo sasa gharama ya kioo ni 150 hivo
hapana mkuu kwanza mm huwa najisikia amani sana kumlipa mteja ili kila mtu abaki na amani yake ila hii kidogo imekuwa ngumu ndo maana nikaomba ushauri
lakini hicho kifaa ni cha muhimu zaidi mkuu bila hicho hata nifunge ofisi ni sawa tu au kuna mtu anaweza nisaidia hizi raba za pump ya hot air gan yangu imekufa
Nadaiwa 150 na nilikubaliana na mdeni namlipa hela yake tarehe 3 mwezi huu wa 6.
Hela nimepata ila kifaa cha ofisini kimekufa leo leo na spea kupafa ni mpaka niagize chini haizidi 40 ila pia kifaa kama hicho hapa mjini wanauza 150.
Hiki kifaa bila kuwepo ofisini ni sawa tu na nimefunfa ofisi...
vijana tunawapenda ila pepo aliye waingilia lazima atoke kwa viboko japo ni lazima nyinyi muumie pia ila yeye ataumia zaidi maana amefanya miili yenu kuwa makao yake.
sina shida na madogo shida yangu sitaki sipendelei machawayaliyojazana kwenye ndege.
halafu swala la kufumuliwa oktoba mbona ni la kawaida tu unamtanguliza mwenzako jela wakati na wewe lazima utaenda huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.