Recent content by Desierto

  1. Desierto

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Muda wa kufukua makaburi sasa. Kama kuna maneno aliwahiyaongea hapo nyuma au kufanya kinyume na watanzania. CCM oyeee
  2. Desierto

    Nani yupo macho?

    Nipo kitandani na mke wangu ila kuna kitu kimenistua. Baada ya kustuka usingizini mke akaamka kumkojolesha mtoto. Cha ajabu imenichukua dk kama 10 kukumbuka jinsi la mtoto wangu ana miaka 2 Hii ni hali ya kawaida au maana nilijaribu kukumbuka ila kumbukumbu zikanigomea kwa haraka nikashindwa...
  3. Desierto

    Haya maneno yapo kwenye nyimbo nyingi je yana maana gani?

    Kwenye nyimbo za kizungu, kibongo,nk. Je? Yana maana gani? Na chimbuko lake ni wapi?
  4. Desierto

    Umeshawahi kuokota hela mfukoni mwako?

    Vipi ulijisikiaje yaani unajikuta hujatarajia na hauna hela siku hiyo ila mara paap! Unaingiza mkono mfukoni kisha inakutana na hela ambayo hukumbuki ulioweka lini.
  5. Desierto

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ufaransa: mfereji wa hormz lazima ifunguliwe. Iran: njoeni muufungue. 😄
  6. Desierto

    Naombeni ushauri kuhusu kushea biashara na mtu

    Nimepata mdau ameniomba aweke mtaji kwenye ofisi yangu kesho ndo nataka nikamsikilize. Ila ni kuongeza bidhaa ofisini Mm plani yangu ni kama ataongeza mtaji basi nilitaka nimwambie mtaji wake tuweke kwenye simu ndogo za batani radio za kuchajisha na sabufa zisizo zidi Bei ya 120 Na bidhaa...
  7. Desierto

    Umeshawahi kununua kitu cha wizi?

    Huu msala omba tu usikukute aisee unaweza kuondoka na Mali zako zingine ambazo hata hazihusiani kabisa na wizi. Mimi kwa mara ya kwanza nimekutana na huu msala nimenunua tv nch43 nimenunua ikiwa mbovu kioo ili nivune spea almanusura inipeleke ndani. Japo muhusika au mwenye Mali kasema ilikuwa...
  8. Desierto

    Hii Haina tofauti na mzazi anamtoa mtoto wake kijijini aje kufanyia kazi za ndani mjini

  9. Desierto

    Inakuwaje kwa chombo Cha habari kinachojiita super brand kufanyia ujinga huu

    Huu ni ujinga utoto na uoga kwani kila habari kwa sasa wanakuwa wanajua kabisa mapokeo yatakuwaje. Ni heri kama wameshalijua hilo
  10. Desierto

    Wanajeshi Uganda waamriwa kumkamata Bobi Wine akiwa hai au amekufa

    Akitaka utawala wa familia yake ueendelee ni amwachie mtototo wake madaraka sasahivi akiwa hai. Lakini akisubiria mpaka afe ndo utakuwa mwisho wa utawala wa familia yake. Mfano ni ya Mugabe kufia madarakani.
  11. Desierto

    Vipi unahudhuriaga vikao au watakalopanga kwako ni sawa tu

    Kusema ukweli mm sipendi kuhudhuria vikao ila watakalopanga kwangu ni Hilo naruka nalo tu.
Back
Top Bottom