Nyie mashabiki wa CCM na Magufuli ni watu Hatari Sana hata kinyesi mnaweza kula ulivyo lijinga ume highlit kabisa eti Lissu Alisaliti wazungu, washenz sana Nyie mabogus
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma wapi wewe hujui historia? Nyerere alifungwa na Waingereza wakati akidai uhuru, kasome historia, unadhani aliamka asubuhi akaupata Urais?
Alipotoka jela aliendeleza mapambano ndo akaja kuwa waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika ,then Rais.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.