Recent content by DERVARIO MONTANAH

  1. D

    Jirani yangu kaenda Sumbawanga kisa kuku wake kapotea

    Hahahaaaa mpigie bhna mwambie msifike huko arudi mtatue tatizo in diptomatic way kwan kuku tuuu si angekuuliza
  2. D

    Naomba kujuzwa jambo kuhusu Mafao kuachishwa kazi - NSSF

    Benjamin hawajiungi mjomba ple ni HQ hapo lazma uende ilala boma ple ,,na hukujiungia benjan cx ndo utaenda chukua form kulingana kampuni yako ilipokuwa na ilikuwa upande wa ipala zones au temeke au ubungo plaza,konondoni au kigamboni darajan aubezi nk
  3. D

    Naomba kujuzwa jambo kuhusu Mafao kuachishwa kazi - NSSF

    Benjamini ukafanye nini sasa duuuh makao makuu ndo waanatoa mafao yalo au mikoani kulingana na ulikokuwa ,,nataman niwape somo humu bt ngoja tu maana mnavyoiongelewa nssf sivyo ilivyo kiuhalisia kuna mambo meng sanaa mazuri na yapo kwa lengo la kukufanya usijutie kuwa mwajiliwa na msipotoshane...
  4. D

    TANZIA: Mwanafunzi Kampala International University (KIU) afariki dunia baada ya kushambuliwa na vibaka

    Naomba kujua alicboongea mkuu wa wilaya baada ya kudhuru eneo la tukio hii leo tuone clip yake anagalau
  5. D

    Nimetolewa kwenge group la UVCCM la WhatsApp la Tawi la Chuo kikuu kimoja hapa mjini, kisa nimehoji kuhusu taarifa aliyoileta M/Kiti wa Tawi

    Kuna mambo sio mpka utangaze watu tujue ili iweje kama ulikuwa member wa group hilo ulitakiwa ka ulivyojiunga pia mmalizane hukohuko alaf unaleta taarifa hapa sis sasa mahakama au wasuluhishi kwan vijna tz tunamatatizo gani wewe mtu wa elimu ya juu kabisa unaleta kujaza uzi mambo ya kijinga hivi...
  6. D

    Wakazi wa Mtwara na Lindi, tupeni hali ya hewa na kile kinachojiri

    Tahadhari ilikwish tolewa juu ya nn cha kufanya bila shaka au kuna other updates
  7. D

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hahaaa wahudhuriaji wako speed Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    Valentines's Day: Asili na historia yake hadi kusisimua Ulimwengu

    Naomben kujua hasa historia ya mtu hyu ambae inaaminika ndo muasisi wa siku ya Valentine day na nataka kujua hasa nn kilikuwa nyuma ya pazia na nn hasa kilipelekea hdi akawa ndo muasisi wa siku hii ya wapwndanao duniani wanajambi msaada plzz mwenye deeply information na kwa mifano...
  9. D

    Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

    Ngoja niingie chimbo kwa hii taarifa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Baa kuna Vituko vyake bhana

    Songea kumbe LA charz ndo kuna maajabu eeeh hahaaaa nmemiss songea ple mtin hta wa buku unapata nunua supu tuuu
  11. D

    Ukipewa nafasi ya ku-delet au ku-clear nchi moja duniani unge futilia mbali nchi gani.?

    Mm mtuma post ingenisamehee ningefumba macho na kukufutaaa faster mambo ya nchi muachie muumba
  12. D

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    KKa mshana samahana kwa kuku sumbua pia unaweza nisaidia chochote hpa et kuna swali linasema ,,media an operate ethically and statutory in Tz ,discuss . hili swali nalishindwa kulielewa naikaona kaka mshana mtaalamu wa ulonzi na uganguzi unaweza nisaidia maana una elimu dunia na elimu ahera so...
  13. D

    Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

    Ttzo jaamn hpa hatutaelewana katu CX tymekutana pande mbili zenye iman tofaut yaan siku zote ukipangwa kuwa opposer's hta kama kinachozungumzwa unaelewa kuwa yuko right mzungumzaji BT kwa vile tu ni umewekwa upande wa mpingaj you should oppose BT tukija kwa proposers huwa wanakuwa wanatetea kit...
Back
Top Bottom