Baa kuna Vituko vyake bhana

Baa kuna Vituko vyake bhana

Vituko vya baa mtaviona sana kipindi hiki...
 
Na wapo wanaokaa na bia moja au soda kusubiri wanaowajua ili wawapige virungu vya bia, na ukimwambia hauna hela basi unasakamw na maneno kibao
 
Na wapo wanaokaa na bia moja au soda kusubiri wanaowajua ili wawapige virungu vya bia, na ukimwambia hauna hela basi unasakamw na maneno kibao
,, Tangu saa 9 alasiri mpaka saa 3 usiku bia ni hiyo hiyo
 
Oyoo tunasubir saa sita wanapofunga, hapa mmoja ashanipanga ikifika kufunga tunaondoka tunaenda kukesha La Chaz kitakachofuata mi sijui
Songea kumbe LA charz ndo kuna maajabu eeeh hahaaaa nmemiss songea ple mtin hta wa buku unapata nunua supu tuuu
 
Moja ya vituko nimeviona sana baa ni;

1.wanaokuja kutafuta meza yao peke yao
2.wanaokuja na mademu kutafuta meza zilizojificha gizani
3.waliokaa meza moja alafu hawaongei (wote wapo busy na smartphone wanachati)
4.wanaokunywa soda na Konyagi
5.Wanaoenda toilet mara kwa mara
6.Baamedi anayejifanya anajua kucheza mziki kuliko wengine
7.Waliokuja baa kwa ajili ya kiangalia mpira (mara nyingi wanakunywa maji)

Na wewe Ongezea.....
Napenda baaa amabayo ma barmaid wanazngusha nyongaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom