Kuna wanaoenda baa marafiki zikipanda kichwani ngumi zinaanza on the spot
Tatizo Huwa wanakunywa kama majiWanaonunuliwa bia hulewa mapema kuliko mabosi
City pork/Micasa ya Ubungo au Tabata?Wale wa Joint Park, Eagels, La Chazi, City pub, Green, Carnival,London Lounge, Micasa, City Pork....Mpoooo
kuna watu unaeza ukawaona wanazunguka tu maeneo ya bar hata hawaeleweki wanachofanyaHii nayo point mdau
Kama yule wazirikuna tunaosubiri wakuwakupiga ngeta mkuu usitusahau hapo
Napenda London lakin cjwahi pata manz mkali hapo. Cjui niaje?Wale wa Joint Park, Eagels, La Chazi, City pub, Green, Carnival,London Lounge, Micasa, City Pork....Mpoooo
Songea kumbe LA charz ndo kuna maajabu eeeh hahaaaa nmemiss songea ple mtin hta wa buku unapata nunua supu tuuuOyoo tunasubir saa sita wanapofunga, hapa mmoja ashanipanga ikifika kufunga tunaondoka tunaenda kukesha La Chaz kitakachofuata mi sijui
Mbeya karibuni wakuuWale wa Joint Park, Eagels, La Chazi, City pub, Green, Carnival,London Lounge, Micasa, City Pork....Mpoooo
Napenda baaa amabayo ma barmaid wanazngusha nyongaaMoja ya vituko nimeviona sana baa ni;
1.wanaokuja kutafuta meza yao peke yao
2.wanaokuja na mademu kutafuta meza zilizojificha gizani
3.waliokaa meza moja alafu hawaongei (wote wapo busy na smartphone wanachati)
4.wanaokunywa soda na Konyagi
5.Wanaoenda toilet mara kwa mara
6.Baamedi anayejifanya anajua kucheza mziki kuliko wengine
7.Waliokuja baa kwa ajili ya kiangalia mpira (mara nyingi wanakunywa maji)
Na wewe Ongezea.....