Kama obama alikuwa mpinzani wakati flani,kama david cameroon alikuwa mpinzani wakati flani kwenye mataifa tajiri kabisa duniani,basi sahau kuhusu makofuli kuua upinzani tz,wahusika wa richmond wapo mbona awachukulii hatua!
Kwa mwanaume yoyote lazima uhumie lkn ukweli ni kwamba kama mke ukumkuta na bikira huna aja ya kuumiza kichwa,tujiulize ni wanaume wangapi wamebahatika kukuta bikira kwa wake zao.anza kumlinda mkeo toka siku mlipofunga ndoa na usitake kizijua habari zake kabla ya ndoa yenu!
Hayo ni mawazo yako lissu ataendelea kuwa juu milele maana yeye ndiye mpinzani sio zitto anayesifiwa na watawala wakati yeye ni mpinzani.yatamkuta ya cheyo na mrema ila lissu atarudi bungeni miaka yote
NI KWELI MAANA MTOTO HANA DHAMBI NA YESU ALISEMA UKITAKA KUONA UFALME WA MUNGU HUNA BUDI KUWA KAMA MTOTO MDOGO KWA KUWA UFALME WA MUNGU NI WAO.watafuteni wataalam wa saikolojia wawaambie sifa kuu za mtoto,alf ndio mtajua makofuli alisifia au aliponda ukawa.
Makofuli aonyeshe uungwana kwa vitendo,yeye kama rais anajua matokeo halisi ya zanzibar,kama anataka kuwa kipenzi cha watu aanze na kumtambua maalim seif kama rais,aache kishabikia chama cha mapinduzi.isije ikawa HAPASTORY TU,HAKUNA KAZI#
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.