Umenikumbusha jombi enzi hizo alikuwa anatikisa sana huku mbeya niiikuwa nasikia kuwa alikuwa anatoa taarifa kabla ya tukio sasa sijui ilikuwa kweli au ni stori za kizushi
Kazi zinasheria zake lazima ufuate. Kwa mfano viwanda vya chakula haitakiwi mtu aliyena magonjwa kama typhoid, amoeba etc, kufanya kazi mpaka atakapotibiwa ndio maana kunakuwa na taratibu za kuwapima Wafanyakazi kila mda. Na hiyo ni standard ya food safety.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.