dahh wasomimi wa sikuizi wanaumiza sana mioyo yawatu kweli mtu unakaashule zaidi ya miaka20 then mtu anakuja kukupa vijicent unubalikusaliti mamilion ya watu just kwasasababu yatumbo EEEEEEHHHHH MWENYEZI MUNGU WAPE HEKIMA WATU HAWA. AMAN
Daahh huweziamini hawa ndio wanajiita wasomi wasikuizi wako kwamanufaa ya matumbo yao na familia zao basi!!!!!!!!! nasi wananchi wanyonge kama enzi za mwalimu inasikitisha sana TANZANIA YA LEO
Jamaa wamenisikitisha sana yaani sitakikuamini kama uwezowakufikiria wahawajamaa wanaotakakumchafua mbowe umeshuka kiasi hiki hii niaibu na fedhea kubwa sana any way lets wait and see
Kila jambo lina mwisho inawezekana madiwani hawa wa ccm wamekaa wakatafari sana wakaonanibora wasitishe siasa chafu kwamaslahi ya wananchi wa ARUSHA hakunahaja ya kufukuzana tunapotofautiana kifikra
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.