Simu angu aina ya samsung galaxy a20 muda mwingi inaandika emergence call kwa line zote mbili kuna muda network inashika na kuna muda network inakata.
Nimewapelekea mafundi kila fundi anasema hawezi kutatua hilo tatizo nilikua nahitaji msaada kuhusiana na hilo wadau
wakuu naombeni msaada wenu nimunua mi max angu ila inae rom ya kichina nataka kuiflash nipate global stable rom naomben mnielekeze jinsi ya kuinstall hiyo global stable rom au anaejua anipe namba zake nimtafute hv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.