Recent content by Denton_GrootBoom

  1. Denton_GrootBoom

    Unalitambuaje godoro feki?

    Qfl Dodoma vs Tanfoam Arusha which comes the first?!
  2. Denton_GrootBoom

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Jan 2026 Kuna manouvre nifanye? Maana termination letter na certificate of service ninavyo. Tatizo ni eti investigator kaniona hazina, so hawataki kunipa ela zangu eti nitadai nikistaafu roughly 28 years to come seriously😌😌😌 Nitadai za NSSF then PSSF eti hakuna merger kila mfuko kivyake
  3. Denton_GrootBoom

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Daaah noma sana nimenyimwa ela zangu NSSF kisa eti investigator aliniona nimetoka private (NSSF) sector ila nipo hazina(govt-PSSF) Wadau mna weza nisaidia?
  4. Denton_GrootBoom

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Hivi Perdiem za PM na Mawaziri ni kiasi gani?! 😃😃😃 Na za presidaaa??? Pascal Mayalla @britanicca
  5. Denton_GrootBoom

    Vita ya Urais 2030, itawatoa roho Mwigulu Nchemba na Emmanuel Nchimbi

    Mkuu mbojo kwa english ni nani? Au weka picha 😂😂😂
  6. Denton_GrootBoom

    Mange atakuja kuwa mtu mkubwa sana na kusomwa habari zake kwenye Tanzania ya kesho

    Unaendeleaje baada ya kupuuzwa na watawala ulio waonya kwenye ule uzi wako 😃😃😃
  7. Denton_GrootBoom

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Naomba uitaje hapa au inbobo p'se
  8. Denton_GrootBoom

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Jumla ya posho ni sh ngap
  9. Denton_GrootBoom

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Wana posho? Yaani ela allowance/incetive mbali na gross salaree
  10. Denton_GrootBoom

    Binti WA kazi amapakua chakula miguu ikiwa amepanua

    Wamakonde wana tabia zipi kaka kabla sijajilipua kumuweka ndani 😁
  11. Denton_GrootBoom

    Tunaenda Kondo kuujua ukweli

    Qu1: inamaana walipokuwa wanaandaa hilo kaburi hawakuonekana au wakazi wa hapo hawakuona wala kusikia activities hapo? 2. Aise wamefanya uzembe sana kama ni kweli. Why kondo? Karibu sana hapo na ni populated sana ,RISKYYY. wale waliokuwa wanasema wamezika mkuranga nje huko atleast
Back
Top Bottom