Jan 2026
Kuna manouvre nifanye?
Maana termination letter na certificate of service ninavyo.
Tatizo ni eti investigator kaniona hazina, so hawataki kunipa ela zangu eti nitadai nikistaafu roughly 28 years to come seriously😌😌😌
Nitadai za NSSF then PSSF eti hakuna merger kila mfuko kivyake
Qu1: inamaana walipokuwa wanaandaa hilo kaburi hawakuonekana au wakazi wa hapo hawakuona wala kusikia activities hapo?
2. Aise wamefanya uzembe sana kama ni kweli. Why kondo? Karibu sana hapo na ni populated sana ,RISKYYY. wale waliokuwa wanasema wamezika mkuranga nje huko atleast
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.