Recent content by Denis Alphonce

  1. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Open-Source Intelligence: Silaha ambayo Iran Haikulazimika Kuinunua

    Mtu na akili zake Herman Goering ni mtaalamu bwana
  2. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Kwani chief kabla hatjadili hii maada lengo lako ni kutaka kuelewa au unajibu lako unahitaji kubishan
  3. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Tunaenda kushuhudia Marekani inashindwa vita na Iran. Wachina na Warusi ni wahuni sana

    Una taarifa kuwa Ukraine imepoteza Donbass yote
  4. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

    Hamna fact shida hapo ni simu anayoitumia vivo,oppo au huawei
  5. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Wameanza kushituka mbinu ya Putin kuwa muda mrefu vitani, Bulgaria yasitisha msaada wa kijeshi kwa Ukraine

    Ukiangalia juu juu inaonekana hivo ingawaje mambo ni tofauti ni kama vile Ukraine inasemekana kapoteza whole Donbass mbali na Hilo juzi nimepitia kurasa za Dw inaonekana Poland na baadhi ya wafadhili tayari wameishiwa silaha katika ghala lao lakin usiamini sana taarifa za upande wowote vitani...
  6. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Israel imeanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran muda huu

    Naunga mkono hoja ijapokuwa candidate wote wa republican ni kama wanafana George bw bush na Trump siioni tofauti
  7. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Watu wa east zoo mme diss swala
  8. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Ukweli ni kwamba hata yeye anajua consequences za kufanya Hilo ni direct confrontation with china NM
  9. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi amshambulia Mwalimu darasani akipinga kupewa adhabu kwa kutohudhuria kipindi

    Huu ni upuuzi najua unayoyaongea ni Kwa ajili ya kuchangamsha jukwaa uhalisia ni kwamba maendeleo ya mazuri ya mtoto ni pacha na nidhamu
  10. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi amshambulia Mwalimu darasani akipinga kupewa adhabu kwa kutohudhuria kipindi

    Inasikitisha sana hasa Kwa Hali ilivo mashuleni, jukumu la malezi Kwa watoto tumeachiwa waalimu ila huyo bwana mdogo direct anayo laana laana hii itamtesa sana bwana mdogo
  11. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Trump mbioni kuirudisha kambi ya kijeshi ya Bagram, Taliban wakataa ombi hilo

    mambo mabaya yatayowakuta ni yepi kipi kipya USA wanatakiwa watumie approach ingine
  12. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Askari wa Israel usiku huu wanaingia Gaza city na vifaru vyao

    once my brother quoted some one " when u see a man fall don't laugh then he insist don't laugh then he say learn learn learn because no one is free from temptetions that ca
  13. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Askari wa Israel usiku huu wanaingia Gaza city na vifaru vyao

    kama binadamu ni swala fikirishi sana .kwamba wakazi wa gaza ni half human au hawana hadhi ya ubinadamu ukiondoa tofauti ya iman, itikadi kama upo timamu huwez hata ukaona kuwa kuna namna hapa kuna watoto ambao hata kuinua risasi hawawezi lakin kwa roho mbaya unawajumuisha katika mkenge sawa na...
Back
Top Bottom