Recent content by Denis Alphonce

  1. Denis Alphonce

    Trump mbioni kuirudisha kambi ya kijeshi ya Bagram, Taliban wakataa ombi hilo

    mambo mabaya yatayowakuta ni yepi kipi kipya USA wanatakiwa watumie approach ingine
  2. Denis Alphonce

    Askari wa Israel usiku huu wanaingia Gaza city na vifaru vyao

    once my brother quoted some one " when u see a man fall don't laugh then he insist don't laugh then he say learn learn learn because no one is free from temptetions that ca
  3. Denis Alphonce

    Askari wa Israel usiku huu wanaingia Gaza city na vifaru vyao

    kama binadamu ni swala fikirishi sana .kwamba wakazi wa gaza ni half human au hawana hadhi ya ubinadamu ukiondoa tofauti ya iman, itikadi kama upo timamu huwez hata ukaona kuwa kuna namna hapa kuna watoto ambao hata kuinua risasi hawawezi lakin kwa roho mbaya unawajumuisha katika mkenge sawa na...
  4. Denis Alphonce

    Sudan Kusini: Upinzani walaani mashtaka ya uhaini dhidi ya Makamu wa Rais Riek Machar, waonya hatari ya Vita vipya

    no my brother we african, we are all the same.By the way uongozi sio individual property kama wananchi hawakutaki hawakutaki tu
  5. Denis Alphonce

    Medvedev: NATO kuilinda anga ya Ukraine ni 'tangazo la vita'

    Ni kusema vile western European countries have failed until now to find a solution for Ukraine conflict. Ushauri wa bure huwezi tatua tatizo la chuki kwa kuonyesha chuki
  6. Denis Alphonce

    Hujawahi kukutana na hii screen halafu unataka kuniscam, unaanzia wapi kwamfano?

    kwa wataalamu kama mm wa zamani website muhimu ilikuwa waptrick,wapdam tubidy facebook enzi hizo lakin kama mraibu wa blackberry nathubutu kusema BBM ilikuwa ni unyamwezi sana
  7. Denis Alphonce

    Umewahi kuwa na mahusiano na mtu ambaye unajua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine, iliishaje?

    cocastic kumbe ni mraibu me nimewaza kwa nini iwe heka heka
  8. Denis Alphonce

    Eva Braune mchambueni huyu mwana mama

    Wanajamvi please mchambueni huyu mwana mama . 1.Role yake ya mwanamke katkika jamii unamuonaje positive or nagative. 2.Uaminifu wake unaonaje ungependa upate mwanamke kama yeye ? 3.Hivi ni kweli wanawake huwa wanapenda mpaka kufa kweli 4.Naombeni tafahari mtaalam mmoja amuelezee huyu mwanamama...
  9. Denis Alphonce

    Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    simple fact we had new president after death of maguful lakin Mh.samia suluhu hassan nae aliendelea pale pale magufuli alipoishia amekamilisha miradi ambayo mgufuli aliianzisha so unataka kusema mh. samia suluhu hakuona kuwa hizi project ni useless .2 utueleze ni sera gani za kiuchumi...
Back
Top Bottom