katika uchumi kuna kitu tushakisoma kinaitwa (HIDDEN POVERTY) Ni njia ambayo serikal nying inaitumia katka hii issue case study nzur ni UNITES STATE OF AMERICA .
Kama mataifa mengine USA masikin pia wapo lakin unaambiwa mabadiliko ya kimaisha ya mtu masikin ni makubwa .Yaan mwaka hadi mwaka...
tafsiri yake n uchokozi.
ukiona adui anakuja kukufanyia vimbweka kwako basi jua kashakuona huna la kumfanya.
USA yy always yupo above the law ,China na Urusi nao wanadhihirisha wapo above the law.
Lakin ukishaanza kuona hivo ujue mambo hayajakaa sawa kama hawatatumia diplomacia usalama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.