once my brother quoted some one " when u see a man fall don't laugh then he insist don't laugh then he say learn learn learn because no one is free from temptetions that ca
kama binadamu ni swala fikirishi sana .kwamba wakazi wa gaza ni half human au hawana hadhi ya ubinadamu ukiondoa tofauti ya iman, itikadi kama upo timamu huwez hata ukaona kuwa kuna namna hapa kuna watoto ambao hata kuinua risasi hawawezi lakin kwa roho mbaya unawajumuisha katika mkenge sawa na...
Ni kusema vile western European countries have failed until now to find a solution for Ukraine conflict. Ushauri wa bure huwezi tatua tatizo la chuki kwa kuonyesha chuki
kwa wataalamu kama mm wa zamani website muhimu ilikuwa waptrick,wapdam tubidy facebook enzi hizo lakin kama mraibu wa blackberry nathubutu kusema BBM ilikuwa ni unyamwezi sana
Wanajamvi please mchambueni huyu mwana mama .
1.Role yake ya mwanamke katkika jamii unamuonaje positive or nagative.
2.Uaminifu wake unaonaje ungependa upate mwanamke kama yeye ?
3.Hivi ni kweli wanawake huwa wanapenda mpaka kufa kweli
4.Naombeni tafahari mtaalam mmoja amuelezee huyu mwanamama...
simple fact we had new president after death of maguful lakin Mh.samia suluhu hassan nae aliendelea pale pale magufuli alipoishia amekamilisha miradi ambayo mgufuli aliianzisha so unataka kusema mh. samia suluhu hakuona kuwa hizi project ni useless .2 utueleze ni sera gani za kiuchumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.