Recent content by Denis Alphonce

  1. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Israel imeanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran muda huu

    Naunga mkono hoja ijapokuwa candidate wote wa republican ni kama wanafana George bw bush na Trump siioni tofauti
  2. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

    Watu wa east zoo mme diss swala
  3. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Ukweli ni kwamba hata yeye anajua consequences za kufanya Hilo ni direct confrontation with china NM
  4. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi amshambulia Mwalimu darasani akipinga kupewa adhabu kwa kutohudhuria kipindi

    Huu ni upuuzi najua unayoyaongea ni Kwa ajili ya kuchangamsha jukwaa uhalisia ni kwamba maendeleo ya mazuri ya mtoto ni pacha na nidhamu
  5. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi amshambulia Mwalimu darasani akipinga kupewa adhabu kwa kutohudhuria kipindi

    Inasikitisha sana hasa Kwa Hali ilivo mashuleni, jukumu la malezi Kwa watoto tumeachiwa waalimu ila huyo bwana mdogo direct anayo laana laana hii itamtesa sana bwana mdogo
  6. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Trump mbioni kuirudisha kambi ya kijeshi ya Bagram, Taliban wakataa ombi hilo

    mambo mabaya yatayowakuta ni yepi kipi kipya USA wanatakiwa watumie approach ingine
  7. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Askari wa Israel usiku huu wanaingia Gaza city na vifaru vyao

    once my brother quoted some one " when u see a man fall don't laugh then he insist don't laugh then he say learn learn learn because no one is free from temptetions that ca
  8. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Askari wa Israel usiku huu wanaingia Gaza city na vifaru vyao

    kama binadamu ni swala fikirishi sana .kwamba wakazi wa gaza ni half human au hawana hadhi ya ubinadamu ukiondoa tofauti ya iman, itikadi kama upo timamu huwez hata ukaona kuwa kuna namna hapa kuna watoto ambao hata kuinua risasi hawawezi lakin kwa roho mbaya unawajumuisha katika mkenge sawa na...
  9. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Sudan Kusini: Upinzani walaani mashtaka ya uhaini dhidi ya Makamu wa Rais Riek Machar, waonya hatari ya Vita vipya

    no my brother we african, we are all the same.By the way uongozi sio individual property kama wananchi hawakutaki hawakutaki tu
  10. Denis Alphonce

    JamiiForums Tanzania Medvedev: NATO kuilinda anga ya Ukraine ni 'tangazo la vita'

    Ni kusema vile western European countries have failed until now to find a solution for Ukraine conflict. Ushauri wa bure huwezi tatua tatizo la chuki kwa kuonyesha chuki
  11. Denis Alphonce

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hujawahi kukutana na hii screen halafu unataka kuniscam, unaanzia wapi kwamfano?

    kwa wataalamu kama mm wa zamani website muhimu ilikuwa waptrick,wapdam tubidy facebook enzi hizo lakin kama mraibu wa blackberry nathubutu kusema BBM ilikuwa ni unyamwezi sana
  12. Denis Alphonce

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kuwa na mahusiano na mtu ambaye unajua yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine, iliishaje?

    cocastic kumbe ni mraibu me nimewaza kwa nini iwe heka heka
  13. Denis Alphonce

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeaiangalia "13 Hours: The Secret Soldiers of Benghazi". Ipi kwako ni muvi bora ya kivita?

    ni one of the best
Back
Top Bottom