Mleta mada una point, kwamba, wanaume wasiwateleleze watoto. Hiyo ni point nzuri sana. Ila kuna shida kidogo kwenye reaction yako, unaonekana kama unashida umepitia na umeshindwa kupambana nayo vyema, na hisia zako zimevurugika kwa hilo, kiasi kwamba hauwezi kufikiria vyema, haswa kwenye suala...