Recent content by DENG XIAOPING

  1. DENG XIAOPING

    Huna 10M usisumbue watu kudai michango ya harusi yako

    Ogopa jamii ya watu wajinga kupindukia, hakika sisi waafrika [ watu weusi ] bado ni wajinga kupindukia sijui ni lini tutapambana na ujinga unao endelea kututafuna.
  2. DENG XIAOPING

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    WAPELELEZI WA KIRENO TUNA KUJA KUCHUKUA KOMBE LETU MAPEMA KABISA HUKO QATAR.
  3. DENG XIAOPING

    Dodoso: Tatizo la Tanzania sio CCM

    Hiyo mifano ya nchi zote nilizo orodhesha nazo waliuwawa tena sana kwa hiyo vifo kwenye mageuzi havihepukiki Jambo la msingi mageuzi yetu yawe na msaada kwa Tanzania nzima kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Tuzike kwanza uoga tulio nao ndio kikwazo nambari moja katika kuleta mageuzi katika taifa hili.
  4. DENG XIAOPING

    Dodoso: Tatizo la Tanzania sio CCM

    Sawa, kwa nini ?
  5. DENG XIAOPING

    Dodoso: Tatizo la Tanzania sio CCM

    Hakika na hiyo ndiyo sheria kuu ya kudai haki duniani kote “ Haki haiombwi bali haki inapiganiwa”.
  6. DENG XIAOPING

    Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

    Mkuu kua na jitambue kuwa wewe ni nani na ni jinsia gani ?
  7. DENG XIAOPING

    Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

    Jitahidi kuji elimisha kwanza kabla ya kuandika thread humu jifunze kuhusu wanawake na jifunze pia kuhusu wanaume. udhaifu ulio nao wewe usiufanye kuwa udhaifu wa jamii nzima. N.b: Pia kaa tambua kuwa mwanaume hapaswi na ni marufuku kwake yeye kujiaminisha ni dhaifu hii ni hasara kwa familia...
  8. DENG XIAOPING

    Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

    Umeelewa kweli mkuu swali nililo kuuliza ?
  9. DENG XIAOPING

    Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

    Hauja jibu swali, soma tena swali upya na utoe jawabu kutokana na swali lilivyo ulizwa.
  10. DENG XIAOPING

    Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

    Mleta mada nakuuliza swali, Je mwanaume ni dhaifu ? na Je mwanamke ni imara ?
  11. DENG XIAOPING

    Dodoso: Tatizo la Tanzania sio CCM

    Kweli kabisa, CCM hawapo tayari kwa mapendekezo yote ambayo Chadema wana taka yatekelezwe. 1. Katiba mpya ya wananchi[ hili jambo CCM hawa taki na hawapo tayari na hata katiba itakayo patikana itaendelea kulinda maslahi yao CCM mfano mapendekezo ya kikosi kazi ile yote ndio taswira halisi ya CCM...
  12. DENG XIAOPING

    Dodoso: Tatizo la Tanzania sio CCM

    Hakika tunapaswa kuji tafakari na kuchukua hatua stahiki kukomesha hii hari.
  13. DENG XIAOPING

    Mikopo China, Watanzania tumezoea ulaghai

    Hakika China wapo sahihi kabisa.
Back
Top Bottom