Habarin za muda huu!
Niende moja kwa moja ktk mada.
Harusi ama Send-off n suala la mpango. Nina amini mpaka unaamua kuoa na kufanya harusi(sherehe) umejipanga. Ama mnaandaa sherehe ya kumuaga binti yenu(Send-off) mmejipanga pia.
Mimi nilipotaka kuoa na kufanya harusi nilijipanga kwa pesa. Nilikuwa nabana matumiz yasiyo ya lazima na kuweka akiba.
Mpaka naitisha kikao Cha familia nilikuwa na 15M.
Pesa ya ukumbi 2M ipo,
Mc na Mziki 1.5M ipo,
Mapambo 1.5M ipo
Picha na video 1.5M,
Usafiri wangu, wakwe na wageni waalikwa 2M ipo,
Pesa ya chakula kwa wageni 300 makadirio nilitenga 6M(kwa maana ya sahani 20,000).
Wazazi wakasema vinywaji niwaachie
Zawadi ndugu zangu
Sikutaka lawama na mtu, Wala kufanyiwa harusi. Nilifanya harusi.
Mimi sitachanga hata mia kama mhusika anakuja na porojo ana 1M, au 1.5M. kifupi Bwanahauri akiwa na chini ya 10M sichangi, hiyo harusi. Sababu yeye mwenyewe anatania.
Harusi sio Ugonjwa ama Msiba. Harusi n suala la mpango.
Sio lazima wewe uwe na mtazamo kama wangu. Huu ni wangu Mimi.
Ukiendekeza sana hayo mambo ya kuchangia hutafanya la maana.
Niende moja kwa moja ktk mada.
Harusi ama Send-off n suala la mpango. Nina amini mpaka unaamua kuoa na kufanya harusi(sherehe) umejipanga. Ama mnaandaa sherehe ya kumuaga binti yenu(Send-off) mmejipanga pia.
Mimi nilipotaka kuoa na kufanya harusi nilijipanga kwa pesa. Nilikuwa nabana matumiz yasiyo ya lazima na kuweka akiba.
Mpaka naitisha kikao Cha familia nilikuwa na 15M.
Pesa ya ukumbi 2M ipo,
Mc na Mziki 1.5M ipo,
Mapambo 1.5M ipo
Picha na video 1.5M,
Usafiri wangu, wakwe na wageni waalikwa 2M ipo,
Pesa ya chakula kwa wageni 300 makadirio nilitenga 6M(kwa maana ya sahani 20,000).
Wazazi wakasema vinywaji niwaachie
Zawadi ndugu zangu
Sikutaka lawama na mtu, Wala kufanyiwa harusi. Nilifanya harusi.
Mimi sitachanga hata mia kama mhusika anakuja na porojo ana 1M, au 1.5M. kifupi Bwanahauri akiwa na chini ya 10M sichangi, hiyo harusi. Sababu yeye mwenyewe anatania.
Harusi sio Ugonjwa ama Msiba. Harusi n suala la mpango.
Sio lazima wewe uwe na mtazamo kama wangu. Huu ni wangu Mimi.
Ukiendekeza sana hayo mambo ya kuchangia hutafanya la maana.