Kwa ufupi sana
Jaribu kuchunguza
Yale yaliyomo kwenye vitabu vya mungu
Halafu fatilia duniani uone kama yana ukweli ama vp
Mimi nakupa moja tu la sodoma na gomola
Mengine fatilia mwenyewe
Fanyeni ibada sana acheni maasi na chochote utakacho fanya kinahifadhiwa na utalipwa
Hii dunia na vyote vilivyomo vina mwisho wake
fanya ibada halafu ukifa na ukamkosa mungu haina shida
Kulikoni kuacha kufanya ibada na ukaenda kumkuta
Sijui utamjibu nini
Binafsi jamaa zangu wawili na majirani watatu walipelekwa mloga kwa nyakati tofauti na wote tulizika
Na kwa maongezi ya waliowengi nathani ipo shida pale kweli kabisa
Watu wote hufa hivyo hivyo comred sio waislaam pekee na kila malaika ana jina lake na mtoa roho za viumbe jina lake ndio hilo .
Ila sio kwa jina hilo ndio waislaam wanajihusisha na viumbe hivyo.
I
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.