Recent content by Democracy999

  1. Democracy999

    Swala la Zanzibar ni kitisho cha muungano na usalama wa Tanzania!

    Wapemba wanataka kujiunga na Kenya, chuki dhidi ya Tanzania Bara imedhidi viwango
  2. Democracy999

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Zanzibar mwandishi Ally Saleh wa Ukawa kachukua Jimbo la Malindi, pia Kwahani kwa Dr Hussein Mwinyi kaangushwa na Bilionea Mohammed Hashim Ukawa.
  3. Democracy999

    ZEC yaanza kutangaza Matokeo ya Kura za Urais Zanzibar

    Kwahani cuf? Kwahiyo hiyo Dr Hussein Mwinyi kaangushwa? Mamaaaa
  4. Democracy999

    Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

    Atajuta kumkata Bosi wake na Mfadhili wake. Watanzania tunaelewa kuliko anavyodhani.
  5. Democracy999

    Nyerere day; Katibu UVCCM mkoa Morogoro asema kutompigia kura Lowassa ni kumuenzi baba wa taifa

    Hivi kile kikundi cha Bodaboda kinachomilikiwa na ccm na kufadhiliwa na Muhindi Abood, chenye kazi ya kutafuta wamasai Morogoro, hata kwenye mabasi kisha kuua au kibaka na kisha kuua, eti bado kipo kazini?
  6. Democracy999

    Baada ya Kingunge na Mwapachu, tuwajue TeamLowasa walioko CCM...

    Nyota ya Lowassa sio ya kuchezewa, JK kachezea Shilingi chooni
  7. Democracy999

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Aangalie kwanza bajeti ya kupasuliwa kila kinaitwa eti TEZI DUME.
  8. Democracy999

    TB Joshua ametabiri CCM kushindwa kwenye Uchaguzi Mkuu

    Hata Babu wa Loliondo alimtabiria Magufuli
  9. Democracy999

    Edward Lowassa ahaha kuhakikisha Julius Kalanga (CHADEMA) anapita bila kupingwa Monduli

    Lowassa mchawi, Tanga wale vijana wetu tuliowapeleka wampige picha akianguka nashangaa wote mia wameanguka wao baada huyu ibliss kusema pipooz
  10. Democracy999

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Kuna siku Lowassa alinyoosha mkono na kusema People's, walianguka na kuzirai Wanachama wetu wa CCM tuliowalepeka kusikiliza na kupiga picha iwapo ataanguka. Jamaa si mtu, amini usiamini.
  11. Democracy999

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Nae mtikila alikuwa hachangii amani ya nchi, mara azushe sijui askofu kamshika nyuma, alijisahau sana.
Back
Top Bottom