Recent content by demand

  1. D

    Nisaidieni kutumia mfumo wa kupata leseni ya biashara online iitwao tausi portal

    Heshima zenu wakuu, Msaada ndgu zangu namna ya kupata leseni ya biashara kwa huu mfumo mpya wanaita TAUSI TAFADHALI NAOMBA MUONGOZO KWA ANAYEJUA.
  2. D

    Nimepanga kuacha tabia hizi 2024

    Fanikiwa sana mkuu ktk hili Haya mambo yanatutesa wengi na kutuvuta sana nyuma Kikubwa zingatia kuwa karbu na Mungu,ile hofu itakufanya usite kufanya mabaya Zingatia pia kuepuka mazingira ya vichocheo vyote vinavyochangia utendaji wa tabia hizo Mabadliko n mchakato,ANZA KIDOGO KIDOGO...
  3. D

    Wauza mahindi ya kuchoma wanapiga maokoto sana

    Hata sisi tuliwahi kufkir kama wewe [emoji23] Baada tukagundua zilikua n emotions tu [emoji119]
  4. D

    Nizingatie nini msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka?

    Mkuu, Wewe n mtu bora Umetukumbusha mambo muhimu sana. Kwa niaba ya JF,thankyou sir [emoji120]
  5. D

    Msaada dawa ya kuvuta wateja

    Tizama location Tizama nguvu ya competitors wako Tafuta nguvu ya Mungu,acha uhuni dogo Nguvu za Mungu zitakusaidia sana kufanya mambo yako.
  6. D

    Hela ndogo ndogo unazozidharau ndo chanzo cha kufeli kwenye maisha yako

    Mkuu,umenena vyema…ujumbe bora sana Haba na haba hujaza kibaba Kuna kitu kinaitwa compounding effect Kupata chakula na kukila chote n tabia ya kitoto. Kupata fedha na kuitumia yote n moja kati ya tabia ya hovyo sana. Mtu mmoja mwenye hekima aliwah kusema “kwa kila fedha unayoipata,kiasi...
  7. D

    Nini hupelekea biashara zetu kufeli

    Jibu hili hapa “Maarifa/taarifa sahihi kuhusu biashara/uwekezaji unaotaka kufanya “. Jipe muda wa kuijua,hayo mengne yote kama management,capital,location,nk utavikuta kwnye maarifa
  8. D

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Mkuu kununua bond za serikali minimum n pesa ngapi?
  9. D

    Hili Ndilo Kosa Moja Unalofanya Kila Siku kwenye Maisha yako…

    Mkuu hii n shule bora,Umetisha mwanangu
  10. D

    Namna ya kufanikiwa katika biashara zenye mitaji midogo. Kufikia hadi 66% profit per day

    Uzi bora sana huu mkuu Kwa niamba ya Jf tunakushkuru sana kwa kutupa shule hii…binafsi imenifaa sana [emoji120][emoji120]
Back
Top Bottom