Mimi kwa CV yangu ya kuwa na failed business 5 mpaka sasa, na well running business kadhaa (i don't mean to brag), naweza kusema kwamba kukosa Maarifa sahihi juu ya biashara tunazoanzisha ndo kinachotuangusha sana kushindwa kupata faida na hatimaye kufunga.
Vingine vyote ukiwaza kwa makini vinadondokea hapo kwenye Possession of right Knowledge concerning your business. Maarifa ni kila kitu aisee
Hatuna elimu juu ya biashara husikaHello great thinkers!
Hivi kwanini biashara zetu huwa zina decline????
Uzinzi hata kwa kutamani tu huleta gunduHello great thinkers!
Hivi kwanini biashara zetu huwa zina decline????