Kuna kazi moja inaitwa The Rebel Thief Who Stole The People🙌🏾🙌🏾🙌🏾 Picha linaanza mwamba demu wake alikamatwa afu wakamtumia kama chambo ili jamaa aweze ku surrender. Unaambiwa kwanza jamaa akamuweka huyo demu mshale ili mambo yasiwe mengi afu ndo vagi likawaka sasa🔥
Yani about kula for now nakula mlo mmoja for 24hrs. Kuhusu kunywa maji ya baridi nishaachaga kitambo sana. And kingine sio kwamba eti nina mwili mkubwa wala kitambi hapana. Na pia sio kwamba nataka kuingia kwenye mitindo ya fashion. A big no.. ila tu me mwenyewe napenda mwili wangu uwe fit na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.