Mods sijakosea jukwaa, natoa angalizo pia ninaomba huu uzi uachwe humu humu jukwaa la siasa nahitaji ufafanuzi wenye uhakika,
Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha nne, ana ufaulu mzuri wa Division one ya 11, ila amesoma shule ya private,
kutokana na mabadiriko ya sheria ya mikopo ya elimu...