ngoja tumwambia magufuli ahamishie mbeya huko usionekane kabisa..simple solution ,tafuteni curtain au kitambaa kubwa muifunike hiyo kilimanjaro yenu
if i tell a tourist ,these photos of kilimanjaro were taken from kenya ,will i be lying?? of course not ,because they were taken in kenya.
the best views will always be from amboseli ,,mta do nini ??
we can even see it from as far as nairobi
ngoja tumwambia magufuli ahamishie mbeya huko usionekane kabisa..
Huko Mbeya mtakua mnaupeleka karibu na Wazambia, wale hawatakawia kupiga hela wakiutumia kama selfie background.
Halafu kuuhamisha utoke Kaskazini mwa Tanzania na kuupeleka ndani ndio mtakosa hela kabisa. Maana Watanzania wa Kaskazini huwa wamechangamka kwasababu wamepakana na Kenya, sasa mkiwapelekea Wazaramo ndio kwisha habari.
Acha wivu WA kike!
[HASHTAG]#Tell[/HASHTAG] Uhuru to stop using Mt Kilimanjaro on his fotos background shame on him and his government full of thieves!
ICC siotuwashitaki...
ndo maana yake..!!!ICC sio
havifanani mlima wetu una Theruji kwenye peak na muonekano wake hakuna mlima kama huo Africa na dunianiHivi vilele vya milima mingine havifanani kweli? Ni lazima ile picha iwe ya mlima Kilinjaro??