Hata kwa macho tu hauoni ushindi wa nyalandu na jamaa kashafanya kampeni za kutosha tu ila sins hakika kwamba hapo ndio target nadhani bado kuna target IPO.
Jaribu kuchangia jambo ktk mrengo usiofungamana kwani hii itakuonyesha Ukuaji wako kifikra na si mwili je Umefanya utafiti gani kubaini nchi hiyo ni wakristo tu peke yao ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.