Recent content by Dejamiiforum

  1. D

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu aituhumu Serikali ya Tanzania kwa jaribio la kutaka kumuua na Bunge kutomhudumia Matibabu

    Naona upeo ndogo hii we unamlinganisha tundu lisu nahao wengine eeh pole yako hatulingani
  2. D

    Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

    Je biashara ikigoma una mbadala au maana hiyo forex sio uhakika
  3. D

    Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

    Hata kwa macho tu hauoni ushindi wa nyalandu na jamaa kashafanya kampeni za kutosha tu ila sins hakika kwamba hapo ndio target nadhani bado kuna target IPO.
  4. D

    Australia wapiga kura kwa wingi kuruhusu ndoa za jinsia moja

    Jaribu kuchangia jambo ktk mrengo usiofungamana kwani hii itakuonyesha Ukuaji wako kifikra na si mwili je Umefanya utafiti gani kubaini nchi hiyo ni wakristo tu peke yao ?
  5. D

    Kinachoendelea Zimbabwe: Nchi yawekwa chini ya Jeshi, Mugabe kung'olewa?!

    Kwa mtini Jifunzeni tusijifunze kwa makosa yetu Bali ya wengine
  6. D

    Kwa hii kashfa ya Mbowe kugeuza CHADEMA kuwa kichaka cha Mafisadi, anapaswa kujiuzulu

    Mtizamo ndio unavyosema sungura sitaki mbichi hizi kumbe zilikuwa mbivu baada ya kuzikosa zikawa mbichi maji taka haya
  7. D

    Mrejesho: Forex ya Ontario

    Hii ni nini jamani weka wazi wengine hatuijui
  8. D

    Elimu ya Msingi sasa Miaka 6

    Sa safi sana maana watu sasa wanazeeka mapema
Back
Top Bottom