Recent content by Deinstein 01

  1. Deinstein 01

    Wanafunzi wa bweni shule za serikali ulala masaa yasiyozidi 5 kila siku. Kiafya imekaaje?

    Kule Uingereza karibia kila nyumba ina library na unakuta mzazi anamsomea mwanawe kitabu kabla hajakwenda kulala. Kwahiyo unakuta mtoto anapenda kujifunza vitu tangu yupo mdogo.
  2. Deinstein 01

    Wanafunzi wa bweni shule za serikali ulala masaa yasiyozidi 5 kila siku. Kiafya imekaaje?

    Bongo bado tuna elimu ya kiboya sana. Tunaona mwanafunzi aliyepata 1.3 kwa kuweka miguu kwenye ndoo ya maji ndo ana akili.
  3. Deinstein 01

    Naomba kujua chanel nzuri telegram kwa movies?

    Movie box ndo mpango mzima
  4. Deinstein 01

    Wale watu wa "tusikate miti joto litaongezeka" wako kimya sasa. Mambo mengi tunayosoma shule ni utapeli

    Mabadiliko ya tabia nchi. Kule Texas Marekani watu kadhaa wamefariki kutokana na mafuriko.
  5. Deinstein 01

    Aisee singida ina watoto wakali na wala hata sio wabinafsi.

    Kigoma kuna pisi mzee ila ndo hivyo weusi.
  6. Deinstein 01

    Ajira ni utumwa, mshahara wa kila mwezi ni adui mkubwa wa ndoto za wengi

    Sasa huyo kashatoka kwenye kundi la employees kaingia kwenye kundi la investors and businessmen.
  7. Deinstein 01

    Ajira ni utumwa, mshahara wa kila mwezi ni adui mkubwa wa ndoto za wengi

    If you group the richest people in the world you will find out that 75% are investors, 15% are entrepreneurs, 7% are inheritors, 3% are athletes, celebrities and politicians and 0% are employees.
  8. Deinstein 01

    Drop the best motto you heard in 2025

    "Make money work for you."
  9. Deinstein 01

    Kwanini walimu huwa hawazeeki kirahisi?

    Kuona mwalimu akifikisha miaka 100 ni kawaida sana.
Back
Top Bottom