zilizoachwa wazi na wabunge kutokana na sababu mbalimbali kubwa ikiwa ni
kifo. Mtakumbuka pia kuwa tangu 2010, Dr Slaa analipwa mshahara wa
mbunge ilhali yeye si mbunge. Kwa uelewa wangu, nilijua kuwa CHADEMA
wanamlipa mshahara huo kwa vile walimpa dhamana ya kuwakilisha chama
kwenye...
umesema yote kwa upande wako, asa ukijielekeza katika kujitetea na hatua ulizo chukua ikiwa pamoja na kumuuandikia boss wako barua pamoja na kutishia kwenda mbele ya sheria ni aki yako. but jambo moja la mzingi naomba ujue
1.kwa sasa dunia ilivyo humtishi mtu
2.huna mwananchi unaemtetea cc...
wana
jf, napendekeza chama chetu pendwa chadema kimpatie zitto kabwe jukumu
la kwenda mbele ya kamati PAC, kwa niaba ya katibu mkuu kwa vile yeye ni
naibu wake, natoa oja
Kama we ni wanachama alafu ucjue pesa inapatikana je huo unafiki!!!
nakusaidia cku moja uzuria mkutano then ukitoka pale utajua nje ya wafadhiri , vyama rafiki , ruzuku na nk. utajua kama pesa inapatikanaje CCM wanonge CDM wanapewa
yafuatayo ninapendekeza katiba mpya inayoyokuja yawepo
1. serikali 3 (tuwe na mawaziri wakuu 2 tanganyika na zanzibar na raisi mmoja wa muungano tanzania)
2. wakuu wa mikoa na wilaya hawafai tuwe na serikali ya majimbo
3. kila mwaka wa bajeti selikali iainishe ni vijana wangapi wamemaliza...
mwigulu ushauli wa bule kwako,
Boss wako na chama chako mmesema ivi "wapigwe tu maana tumechoka"
mwigulu kauli iyo inafanya kazi now kwa vitendo wanapingwa na wanakufa sasa iyo oja itafanya kazi vipi
iliali watu wenyewe mnawaua? cha msingi fanya ivi peleka oja ya kumtaka mtoto wa mkulima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.