Recent content by Deghe Mangae

  1. Deghe Mangae

    NHIF na ukirikitimba

    NHIF kuna sehemu mnayumba sana lakini pia mnaboa mno imagine nakatwa kila mwezi makato ya NHIF na MUNGU Wangu ananinusuru na magonjwa mazitomazito au usiumwe kabisa ndani ya miaka 6 cha ajabu kadi ikichakaa naambiwa niilipie nipate mpya. Kwani haya makato ya kila mwezi yanafanya kazi gani kama...
  2. Deghe Mangae

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Naona double double [duledule] Hivi huu mgawo wa umeme na mfumuko wa bei za kijinga hivi vitu chanzo ni nn??!! Manake nalipa kodi yangu ili nisipate tabu matokeo yangu nakaangika na kodi watu shida? Sukari bei imeota mbawa unajua sielewi nasema tena shida nini ama kweli nchi hii wazalendo...
  3. Deghe Mangae

    Photographers' Corner

    Sema kaka
  4. Deghe Mangae

    Serikali, ondoeni kikokotoo kinawaibia Watumishi wa umma

    Serikali Acheni wizi wa mchana kweupe, Ondoeni hii kitu naitwa kikokotoo itawagharimu amini nawaambia hii Inauma sana kwa maisha ya mstaafu, Mtumishi amejibana miaka kibao leo, Unamchomekea kitu cha ajabuajabu. Ina maana Serikali imefeli kabisaaaa Kubuni fund source nyingine ya maendeleo imeona...
  5. Deghe Mangae

    Njia gani nitumie kumtisha jirani yangu?

    Acha mazoea naye kula bati,Uso wa mbuzi muda wote
  6. Deghe Mangae

    Serikali ibuni miradi kuliko kubania mafao ya wastaafu

    Hivi hii sirikali imeshindwa kubuni Chanzo/vyanzo vya mapato vingine Mpaka ikamkwide mtumishi wa umma ambaye ameshajichokea zake. Hii kitu inauma sana huu ni wizi wa kutisha kuliko wizi mwingine. Hizi sheria nyingine naomba wazitafakari kwa kina la sivyo serikali haitabaki salama kwa mlipa kodi
  7. Deghe Mangae

    Maisha ni maamuzi

    Maisha ni maamuzi ya mtu mwenyewe Vile unataka kuwa ni ww mwenye kupokea Ushauri ni suala la ziada lakini hatima ya maisha yako unayo mwenyewe Mind set yako mwenyewe ifanyie kazi Vizuri kuna positivity na negativity haya yote uwamuzi ni wako hiyo ndiyo siri kubwa ya maisha usitegemèe binadamu...
  8. Deghe Mangae

    NIDHAMU IMEHAMA

    Asante mkuu kwa wito wako
  9. Deghe Mangae

    NIDHAMU IMEHAMA

    Mkuu we acha tu matusi ya jana Naogopa hata kukomenti chochote Hawa vijana ni shida
  10. Deghe Mangae

    NIDHAMU IMEHAMA

    Asha kumu si matusi,hivi ni kwa nn Vijana wengi sasa hawana nidhamu? Mtu anajinadi yy ni msomi halafu anaongea utumbo sipati picha kabisa Au silabasi zao mashuleni kuna topic za Matusi?kwenye hii mitandao ya kijamii Kila unapo gusa lazima utakuta matusi tena ya nguoni Najiuliza tuna kizazi cha...
  11. Deghe Mangae

    Kwanini wazazi wengi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji ya biashara

    Asante baba niseme tu yameisha Na MUNGU akubariki sana
  12. Deghe Mangae

    Kwanini wazazi wengi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji ya biashara

    Tusi zuri sana kijana "akili za kijinga nilifikiri ni akili za kipumbavu"manake mpumbavu amevuka ujinga lakini pia kumbuka hoja hujibiwa kaw hoja Leo umenitukana kesho lazima watoto wako wakutukane pia kwa maana imeandikwa umelelewa kwenye familia ya wajinga na ndiyo maana leo hii hukuona tabu...
  13. Deghe Mangae

    Kwanini wazazi wengi wanakuwa wagumu kuwapa watoto mitaji ya biashara

    Atafute zake ataziheshimu Mm ni mmoja wapo kati ya wazazi wa aina hiyo sitoe pesa niliyotafuta Ninachompa ni elimu na si pesa tena
  14. Deghe Mangae

    Ifahamu mikoa 10 yenye maghorofa mengi Tanzania

    Kuwa na gorofa nyingi au chache husababishwa na mazingira au geographia ya sehemu husika utaleta vichekesho kwa wenye akili mfano unalo eneo au unakaa ndani ya eneo la hekari 2 then unajenga gorofa hii haipendezi Gorofa jengeni huko kwenye viwanja vyenu vya 20×20 hapo uko sahihi
Back
Top Bottom