Recent content by DEFENDAX

  1. DEFENDAX

    Rais anayeaminiwa na kupendwa zaidi na wananchi wake Afrika Mashariki

    Kwa tz umefell kweny 100% 🖤 ni 20% ishia humu hum ukija kusema mbele ya watu weng utachafuliwa shaur lako.
  2. DEFENDAX

    SERIOUS: Mchumba (mwanamke) anahitajika

    Mimi kijana mwenye umri wa miaka 26 Nimejiajiri, nina biashara inayoniingizia kipato kila siku Rangi - Maji ya kunde Urefu - Kawaida, siyo mrefu sana wala siyo mfupi Sifa za ninaemuhitaji, awe ni mwanamke mweny sifa hizi; Umri angalau kuanzi miaka 25 kushuka chini Mweusi, akiwa maji ya kunde...
  3. DEFENDAX

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    U UPDATE* vpn hii inakubali kwa laini za Airtel na ttcl tu..... na ni free bila kikomo cha mda wala data....
  4. DEFENDAX

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Proof; Internet free na hiyo VPN mwenye uhitaji aje PM Nikupe hiyo App na Settings zake.... f
  5. DEFENDAX

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    .hats file za Internet bure kwa Voda Aitel na Halotel tu mwenye uhitaji nicheck Pm.
  6. DEFENDAX

    Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

    Aisee kuna nyingin hiz hapa wakuu Kingsman(secret service) na Kingsman(the golden circle) hizi movie ni balaa Pia kuna hizi Hitman Agent 47 The Old Guard Assassin Creed Shaft za Samuel l. Jackson ziko mbili Pia kuna series mpya hii imeachiw tar.7 Ya mwezi huu Jupiter's Legacy ...
  7. DEFENDAX

    Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

    Aisee kuna nyingin hiz hapa wakuu Kingsman(secret service) na Kingsman(the golden circle) hizi movie ni balaa Pia kuna hizi Hitman Agent 47 The Old Guard Assassin Creed Shaft za Samuel l. Jackson ziko mbili Pia kuna series mpya hii imeachiw tar.7 Ya mwezi huu Jupiter's Legacy ...
  8. DEFENDAX

    Naomba mnishauri kuhusu huyu LO maana inakoelekea atanifata huku nilipo

    Asanteni kwa ushauri wenu Nilichokipata zaidi ni kua na maamuzi Ya kiume...
  9. DEFENDAX

    Naomba mnishauri kuhusu huyu LO maana inakoelekea atanifata huku nilipo

    Picha linaanza ilikua mwaka 2018 Huyu binti ambaye napenda humu nimuite LO kwa usalama zaidi nisitumie jina lake OG. Alikuja maeneo nayo ishi, akiwa anafanya kazi ya kuhudumia bar fulani hapa kitaani kwetu, Mdogo wangu wa kiume ndo alikua wa kwanza kujenga nae mazoe kupitia kwake nami nikajenga...
  10. DEFENDAX

    USHUHUDA: Miaka 3 bila ya kuugua

    🚶🚶🚶Mi napita tu...
  11. DEFENDAX

    Taja 'horror movies' zenye ubunifu mkubwa na wa pekee

    Horror Movie yenye ubunifu ni kitu iite RESIDENT EVIL 1 up to 6 Sichoki kuitazama hii Movie
  12. DEFENDAX

    Weka hapa ngoma yako moja kali ya mapenzi na tueleze kwanini hiyo

    Reality ya Rudeboy huwa inanikumbusha mbali sana pia Rudeboy nyimbo zake zinanikosha sana zimebeba ukweli Uliopo hasa REALITY na REASON WIS ME... 💔💔💔💔💵💵💵💵
  13. DEFENDAX

    Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

    HUYO ATAKUFILISI MZEE BABA MTEME ANACHOTAKA KWAKO NI PESA NA SIO MAPENZI...... Amka Ndugu...
  14. DEFENDAX

    Msaada wa data recover

    Shukran mkuu ngoja nifanye hivyo....
  15. DEFENDAX

    Msaada wa data recover

    Nimeformat data zangu kwenye partition bila kujua. Msaada jinsi ya kuzi recover Ni muhimu sana wanajamvi, msaada wa haraka unahitajika.
Back
Top Bottom