Nadhani issue ya uraia pacha inabidi iwe na limit kama Mbunge/mawaziri na rais wasiruhusiwe kuhold office, yaani ukiwa na uraia pacha uwe 100% disqualified to hold that office
Fikiria rais wako awe raia nchi nyingine tena utamwamini vipi anaweza kufilisi nchi akaondoka zake
Hawanayo thats why hawa Wafaransa wanaendelea kuchukua madini yao, na kuwalazimisha kubank hela zao France, na wakitaka portion of that money "pesa zao" wanapewa mkopo kwa riba!!
Wazungu hawatupendi mzee
Mkuu uko sahihi
Hata kama tutasimama katika kweli kwa mfano, kwa utamaduni wetu wa nyumbani na dini zetu gaysm and lesbianism hatunayo hayo mambo
Lakini wazungu watatuingilia tuu sababu ya stupid mikopo wanayotupa,
huwezi kwenda NBC upewe mkopo wa kununua nyumba but ukimpiga mkeo benki...
Bro ukiwa ombaomba hawa wazungu watakupelekesha sana, hiki ndicho kilichotokea south africa, sababu bunge lao lilipitisha sheria ya kuchukua ardhi kutoka kwa wazungu bila fidia, Trump akasema theres a lot of shit is going on SA na sasa tunakata msaada wetu wa arv 350$ every year
umasikini...
sometimes ni ugumu tuu wa maisha, unapelekea mtu akubali kuolewa bila kupenda wengine hata wao hawana furaha katika ndoa
Kama vile dada zetu wanaojiuza baadhi yao wanatamani watoke katika game ila ndio hivyo life
Halafu hii vita ilikuwa inaepukika kabisa, Zelensky alipoambiwa usijiunge NATO angesikiliza, haya yote yasingemkuta, sababu kuna mikataba tangu enzi ya Gorbachev kwamba NATO haitafika pande hizo
sasa anakiona cha moto, na USA wanataka kupunguza kupunguza ruzuku yao kwa NATO ndio so hiyo...
Hii kitu inayoitwa AU ni zigo la
💩💩 bora ife tuu, then Africa tuigawe vipande 6, East, west, south, north and central
Nchi mwanachama wa AU anakuwa na serikali 2 ndani ya nchi moja
Ina maana AU wanashindwa kuwadhibiti mk23 na Rwanda au wawakalishe chini
Hawana lolote wanampotosha
hao.
viinchi vingi vidogo vidogo vya ulaya masikini tuu
Wakati Russia anamchapa Zelensky hakuna hata mmoja aliyesema nywee na Putin aliwaonya aliwaambia yeyote atakayeingilia nayeye atachapwa pia!
Sasa kaka mkuu alikuwa anampa hela na vifaa, Trump kamwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.