Recent content by DEER

  1. DEER

    JamiiForums Tanzania Watumishi wengi wa Umma tumeachwa Kimaisha na Wajasiriamali wadogo

    Kwani ni sheria gani inamzuia mtumishi wa umma kuwa mjasiriamali? Suala la maendeleo ya mtu ni matakwa ya mtu na namna anaona maana ya maendeleo ni nn.
  2. DEER

    JamiiForums Tanzania Sakata limechukua sura mpya, Ashraf Hakim afungua kesi ya kudai alipwe nusu ya mali ya mkewe

    Sasa sheria hazifanani kote ukute anataka nusu ya mali ili aitumie kama child support. Hakim hana mali ni za mama yake kisheria na anaweza kusema watoto warudi kwa mama yake walelewe kwao kama yeye anavyolelewa na mama mzazi kama na dada atasema anashindwa kuwalea bila msaada wa hakim. Mahesabu...
  3. DEER

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Nimeyakimbilia maisha naenda kuumbuka!

    Ongea na mkeo mjipange kwa yajayo. Kingine unachoogopa wewe ni kukosa kazi (kama unayofanya sasa). Kama wewe Ndio umetoa mtaji wa genge ulitakiwa umsaidie mkeo kwenye mambo ya biashara inawezekana hana hizo abc…. Ndio maana unaona hakuna faida. Anza na wewe kujaribu kumsaidia kuuza kujua why...
  4. DEER

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Niende kwenye ajira Serikalini au nisimimamie biashara za nyumbani?

    Waeleze wazazi wakulipe kama unavyotarajia kwenda kulipwa huko serikalini. Jambo jingine hebu jiulize ulisoma ulichosoma ili iweje? Kama unaangalia security ya kazi basi utakuwa ni muoga wa maisha . Miaka mitano iliyopita kazi serikalini zilionekana hazina any security. Kama bussiness ya home...
  5. DEER

    JamiiForums Tanzania Misri na Ethiopia zipo katika hati hati ya kuingia vitani juu ya bwawa la kufua umeme linalojengwa na Ethiopia

    Wamisri wabinafsi sana hata TZ ilipotaka kuchukua Maji Ziwa Victoria walijifanya Hawataki. Uzuri haya maji sio ya nchi moja atavutana na ethiopia lakini ataachia mwisho wa siku na Bwawa litajengwa tuu...!
  6. DEER

    JamiiForums Tanzania Kundi la Wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno. Wakizibwaga, CHADEMA inasambaratika

    Kwa hiyo unaona kabisa CCM imeshinda kwa kishindo uchaguzi uliopita kihalali kabisa. Bila msaada wa Mahera and his shenanigans..!
  7. DEER

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?

    Inabidi kuwa na juhudi za makusudi kupitia mitaala ya elimu yetu. Kuna masomo unaona ya na Faida lakini kinachofundishwa huko hujui utakitumia vipi kwa mazingira ya kwetu. Somo Kama la historia lingejikita zaidi kwenye mazingira ya TZ halafu mengine ni Ziada. Shida inakuja kwenye vitabu vya...
  8. DEER

    JamiiForums Tanzania Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Amefundisha na Msalato pia, na alikuwa anasoma phd UDSM ndio . Alifariki muda akiwa mwanafunzi wa PhD .! Alivamiwa na majambazi wakampiga risasi. So sad yaani
  9. DEER

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

    Unachanganya mada, issue sio kiongozi wa Afrika kuhoji Trump Bali media kuhoji rais /mgombea. Na kuhusu viongozi wa Afrika kuhoji marais wa USA mbona ziko nyingi tuu wenyewe wanaita MAZUNGUMZO.
  10. DEER

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, tunaomba ufanye interview na media. Usikae tu baba, mataifa wanahitaji kukusikia

    Kwa hiyo unataka kusema anachokiongea kwenye majukwaa kila mtu anakielewa. Hakuna mwenye maswali wala hawezi kutolea ufafanuzi baadhi ya matamko yake yenye kuleta maswali.
  11. DEER

    JamiiForums Tanzania Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Tr Lyatuu - chemistry O’level (alisababisha niipende Chemistry na kufaulu vizuri sana) Tr Kavenuke - chemistry a’level (Mwl Poa sana alieipenda kazi yake , RIP) Prof Funajiv UDSM - Paschal language (alipenda kumalizana na programming ubaoni code mnamalizana kwenye karatasi ) Prof Akaro - UDSM...
  12. DEER

    JamiiForums Tanzania Lodge nzuri Arusha City isiyozidi Tshs 30,000

    GMV lodge iko katikati ya mji Levolosi
  13. DEER

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Rais anayekula rambirambi hatufai

    Kwani ungependa watokee kulala nje Waende kusoma kwenye madarasa na kupita juu ya lami sio?? Unaelewaje kuhusiana na neno majanga? Serikali ina jukumu la kutengeneza uliyoyasema BUT not on our expenses. Hata Kama ni Kweli Serikali haijengei wananchi nyumba michango iliyotolewa ilikuwa inalenga...
  14. DEER

    JamiiForums Tanzania Tanzania iwe upande gani Kama Ethiopia na Misri zinapigania maji ya mto Nile?

    Tanzania haitakiwi kuegemea upande wowote zaidi ijikite kushawishi nchi mbili hizi kufikia makubaliano mazuri namna ya matumizi ya Maji. Wanayogombania. Sema Misri ni watata sana kwenye Suala la kutumia maji ya mto Nile .
Back
Top Bottom