Jimbo la iringa mjini mshindi ni Fadhili Ngajiro kwa kura 1899 na wa pili ni Moses Ambindwile kwa kura 1523. ANACHUKULIWA MOSES, fadhili kagombea zaidi ya mara mbili akakosa, leo kaongoza lakini anaemfuata ni mgeni kabisa chamani na siasa za Iringa mjini lakini amemkaribia mwenyekiti wa jumuiya...
Vyovyote itakavyokua ukweli ni kuwa waliofurahi ni wachache kuliko wasio na furaha kwa Bashite kurudi, kuna wachache waliowahi kushinda? jibu ni NDIO lakini ushindi ulikuwa kwa muda mfupi, basi tuamini hata sasa ushindi wa wachache utakua wa muda mfupi vilevile, sio rahisi kuubeba mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.