Recent content by Dee david

  1. Dee david

    Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Hahaha. Uelewa simaanishi uboya . Namaanisha asiwe mzinguaji. Mwingine haelewi kazi anakupa gari inashida kama zote,... gari inatetemeka kama jenereta. Au unakuta boss anataka hesabu kabla ya mda , anadai anashida nayo. Au kitu kimeisha anatakiwa akinunue yeye anazungusha na hesabu anataka...
  2. Dee david

    Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Hahaha. Uelewa simaanishi uboya . Namaanisha asiwe mzinguaji. Mwingine haelewi kazi anakupa gari inashida kama zote,... gari inatetemeka kama jenereta. Au unakuta boss anataka hesabu kabla ya mda , anadai anashida nayo. Au kitu kimeisha anatakiwa akinunue yeye anazungusha na hesabu anataka...
  3. Dee david

    Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Ni kweli kabisa. Mkataba raha . Ila ni raha ukiwa na boss muelewa na boss akiwa na dereva mchapakazi. Na gari iwe nzima. Full stop.
  4. Dee david

    Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Nafasi bado Zipo? Maana mlinipatia hapo awali ila nilishamaliza mkataba!
  5. Dee david

    Uber kenya

    Thank you so much ..
  6. Dee david

    Uber kenya

    Ni pesa gapi ambayo ni mrejesho wa madera kwa ma boss zao huko Kenya
  7. Dee david

    New incubator(Kiben 10)

    in Inatumia nini. Umeme , mafuta ya taa.???????
  8. Dee david

    Nauza Kuku 60 Chotara aina ya Kuroiler

    Habari zenu wakuu, tunaelekea pasaka Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku. Baada ya kufanya mauzo Christmass na New Year nimeona faida kubwa katika ufugaji. Kwa yoyote mwenye uhitaji wa kuku chotara 60 kama wa livyo bandani. Ni chotara aina ya Kuroiler, Wazito na wamejaza minofu. Nunua kwa 15,000/=@...
  9. Dee david

    WAHUDUMU WA MGAHAWA DSM

    Wanakuja
  10. Dee david

    Kwa Jobless: Upo wapi mida hii na unafanya nini?

    Tuunganishane mzee. Mimi pasport ninayo tayari.
  11. Dee david

    Mdada nilie omba kazi

    Weka namba yako . Utapata wepesi
  12. Dee david

    Kwa Jobless: Upo wapi mida hii na unafanya nini?

    Mk Mkuu. Ivi huko tailand huwa kuna ishu gani zakufanya?
  13. Dee david

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kama kuna kaka . Dada . Mjomba . Mdogo . Binamu. Ukimuunganisha itapendeza
Back
Top Bottom