Samahani bro, ili kutoa bei ilibidi nijue umbali mzigo ulipo na uhakika wa upatikanaji kwenye hilo eneo moja kwasababu kutoa mzigo Malawi kwenda Dar sio sawa na kutoa Morogoro kwenda Dar..kwaiyo kuna mambo flani mengi yakuzingatia na ndio maana nlikua nauliza maswali nijiridhishe alaf tujadili...
Hivyo vyote havikuhusu, yani wanachopima ni nyama pekee baada yakutoa hivyo ulivyotaja pamoja na vitu vya ndani kama maini, utumbo n.k jamaa wahuni sana
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.