Hakuna kitu hatari kwenye programming kama kuwa self-taught asilimia kubwa ya self-taught unakuta unaparamia machine learning wakati kwenye Database concept hujui chochote.
Naweza kuotea kuwa kwa kipindi kirefu umekuwa unafuatilia maisha ya kina elon musk,bill gates from scratch watu ambao story zao zime editiwa na motivaton speakers kisha ukafananisha nao. cha kukushauri ndugu maisha hayana formula endelea kupambana mpaka pale mungu amekuwekea ridhki yako
Wiki kadhaa zilizopita BBC waliripoti kuwa wananchi wanapanga kuandamana kushinikiza jeshi lichukue nchi nashangaa leo tena wananchi haohao wameligeukia jeshi.
"hivi umeshawahi kuona wapi chanjo inafanyiwa utafiti kwa mwaka mmoja" - dkt molell katika kipindi cha ajenda startv.leo hii anakuambia chanjo ni salama.je tumuelewe molel yupi?
Mi nadhani hujaielewa hii post inasema nini na kama umeielewa huwezi kulinganisha marekani na afrika katika mlipuko huu wa ugonjwa wa corona huku shughuli zinaendelea bila lockdown watu wamesongamana bila barakoa na bado hakuna maafa kama waliyotabiri hao mabosi zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.