Robert Kiyosaki kwenye moja ya vitabu vyake kaandika kwamba alikua analala kwenye gari yake wakat anajitafuta, nimesahau jina ni kitabu gani kama sijakosea ni "how to retire young and rich"
Mjmi
Mimi pia kama wewe tu mkuu, ni mwalimu lakin sijaomba. Tatizo kubwa ni kama ulivyosema kukosa elimu ya fedha, ingekua wana elimu ya fedha wenzetu plus na muda tulionao kwa nature ya kazi yetu tunaweza kabisa kutengeneza fedha wenyewe kuliko hata hizo za masimango wanazokimbilia wenzetu
Shukuru Mungu hata una mtoto, nina miaka 33 sasa bila bila wife sion dalili yeyote ya ki band, hospiral wanasema tupo sawa, mwenzangu ndio mayai sijui yamefanyaje na anatumia dawa lakin hola, hapa naona tu wenzangu wanatembea na watoto wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.