Uko right kabisa kaka mkubwa,tatizo ni sisi tunaona Kila kitu ni sawa tu bila wasi.Haiwezekani ukakosa mechanism yakurudisha salio la kawaida kwenda kuwa pesa. Hiyo kazi hata nikiwapa vijana wangu wa UDOM wasuke izo algorithm ni chap tu .
Kitanda
Godoro
Jiko la gesi na mtungi
Kiti Cha plastic
Vyombo
Neti
Mapazia
Kifaa Cha kuwekea vyombo
Mabesi mawili ya nguo
Jumla vyote = 400000tsh
Number:255 675 124 851
Kaka ,unabishana na mambumbumbu na kwa bahati iliyopo humu hatufahamiani ndio maana unakuta kajamaa ni kajinga fulani na hakajui lolote ila kwasababu hukaoni kanavyofanana ,kana uwezo gani juu ya kinachosisitizwa ndio maana vinatema pumba tu.Haiwezekani katika nchi zilizoendelea wao wawe na...
Binadamu ni rahisi sana kumpoint ntu furani kwamba kfanya hiki ila yeye hajioni kabisa kabisa , kwanini haongelei ufisadi ambao CIG kausema na awachukulie hatia ,yaani watuhumiwa wapo lakini hawachukulii hatua na kwenye media anaiponda polisi polisi tangu IGP siro yupo yeye nikuiponda polisi ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.