Kuvamia eneo la mtu sio vizuri hata kidogo , saa nyingine ni dharau ! Mkuu kutaifisha ni sawa kama hajakupa maelezo ya kueleweka lakini kama umemuelewa we msamehe !
Kiukweli kupunguza mb kunaathiri mambo mengi kwa sasa , kwa mfano wanafunzi wanaopenda elimu na maeneo ya maktaba yako mbali ,internet ndio maktaba yetu , sasa kama watapunguza tena ,tutashindwa kusoma na saingine hata kupitia notes zilizo kwenye clouds kama kwenye drop box nakadhalika
Tatizo la Voda nikwamba kunabaadhi ya number zatigo ukizipigia ukiwa umejiunga na Bando la mitandao yote haziendi kama bando zinatumia pesa iliyondani ya simu , kama imeshindikana kabisa turuhusuni wanachuo tulitafutie ufumbuzi tatizo hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.