Recent content by de_bless

  1. D

    Je nikifanya hivi, nitakuwa nimetenda haki?

    Kuvamia eneo la mtu sio vizuri hata kidogo , saa nyingine ni dharau ! Mkuu kutaifisha ni sawa kama hajakupa maelezo ya kueleweka lakini kama umemuelewa we msamehe !
  2. D

    Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa mitandao ya simu nchini

    Kiukweli kupunguza mb kunaathiri mambo mengi kwa sasa , kwa mfano wanafunzi wanaopenda elimu na maeneo ya maktaba yako mbali ,internet ndio maktaba yetu , sasa kama watapunguza tena ,tutashindwa kusoma na saingine hata kupitia notes zilizo kwenye clouds kama kwenye drop box nakadhalika
  3. D

    Vibaka kuzunguka Ikulu, Usalama upo?

    Hahahahahahaha daa #pdidy hatari sanaa huyu jamaa
  4. D

    Rais wa serikali ya wanafunzi chuo cha biashara (CBE) mbaroni kwa wizi

    Daaa ametishaaaa !!! Ila kuvishwa pingu kazingua angewauliza kwanza magwiji wa haya mambo ambao hawakamatwagi !!!
  5. D

    Hebu pima ubongo wako

    Hili jibu la fidelis zul zorander linaonesha kaukweli , hongera mkuu umefikiri nje ya box
  6. D

    Bibi aliyeahidi kuwa gesi ya Mtwara haiwezi kutoka kwa Wana-Mtwara

    Kiukweli hakuna sababu ya kuuamini uchawi
  7. D

    Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

    Hapa tutaenda sawa tuu maana wanayo yajua haya mambo wapo hapa hapa !
  8. D

    Kitendo alichofanyiwa Diamond hakikuwa sahihi kabisa

    Daa wamemfanyaje diamond ????
  9. D

    Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

    Nikweli , mambo men I serikali inaonekana kukurupuka
  10. D

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tatizo la Voda nikwamba kunabaadhi ya number zatigo ukizipigia ukiwa umejiunga na Bando la mitandao yote haziendi kama bando zinatumia pesa iliyondani ya simu , kama imeshindikana kabisa turuhusuni wanachuo tulitafutie ufumbuzi tatizo hilo
Back
Top Bottom