Nikipanda staff bus to job, nikiingia naenda kukaa siti ya peke yangu, au nakaa na mtu mbae najua hawezi niongelesha.
Tukifika kituon ambacho anapanda mtu naihisi kuna mazoea atakuja kunifata na kunipa story zake, bas najifanya nmesinzia.
Kantini job nachukua msosi mwisho, ili nkakae meza ya...