jitukubwalao
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 195
- 161
Hayo yote ni mbwembwe tu mwanamke ukitaka afike kileleni mpe hela hakikisha unampa hela yaani hela hapo atafika kileleni hadi kutukana jamaa alimpiga mashine jana kabla wewe hujaja kutumbukiza kibamia chako yaani mpe hela mkuu sio vijihela ni mahela makamanda utaona jinsi atakavyokuwa anafika kileleni hata mkiongea kwenye simu
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa uelewa wangu mdogo(bado naendelea na research) suala la mwanamke kufika kileleni ni saikolojia.. inabidi umuandae vizuri si kumuandaa ukeni tu bali hata saikolojia..
cha kwanza wewe mwenyewe mwanaume usiwe na papara na pia ujiamini halafu muweke mbele zaidi mwanamke usijifikirie ww tu peke yako
pia hakikisha vitu vifuatavyo
-asiwe na woga/wasiwasi
-asiwe na papara
-asiwe mkali(kuna wanawake wengine wanaamrisha hapa wanakuwa washapanick)
-kuwa romantic
-control the game
-follow the rythim
-physically fitness and stamina... sometime unaweza hitajika kwenda maili ndefu zaidi ili kumfikisha mwisho wa safari
wanawake wanatofautiana so mwanaume inabidi umsome kwanza then umpatie treatment anayohitaji kwa kipimo chake
Sent using Jamii Forums mobile app
