Vijana wanajua wanajumuiya lakini wameamua kuleta hoja yao... kituko zaidi ni pale wanapoamua kumtumia DIAMOND na viongozi wa CCM kuja, taking a wagon ya DIASPORA na vitu vingine kufanya siasa za bata... kupekecha tope kupata pumba
USHAURI WA BURE.... CCM MNAZIDI KUJIDHALILISHA SANA, BE WISE...
Mimi sijaona popote ambapo Mnyika ametangaza vita na Janga.... ila ni kawaida yenu watu incompetent, huwa mnaishia kwenye visasi na mashindano yasiyo na tija... shindaneni na umaskini wa nchi na ufisadi basi kama mnaweza
Mtazamaji...
huwezi kutegemea google kufanya maamuzi
we have different context na pia on the same note, jaribu basi na wewe kugugo uone madaktari wanavyokua treated nchi nyingine
upuuzi sana kutumia gugo kufanya maamuzi....
pesa hujenga familia yoyote uitakayo kuanzia ya malaika hadi ya mashetani, ya muda mrefu hadi mfupi... lakini familia bila pesa ni nyumba ya ujinga, umaskini na maradhi
sasa ndugu yangu unapoweka picha kama hii kwenye public huoni kwamba unajiaibisha wewe na watu wote waliokulea???
Hivi unaweza kupata taswira kwamba that was your sister au your mom kweli??
somethings are very stupid kwakweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.