Recent content by DBA

  1. DBA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Only two odds mapema leo mchana twende wadau Sent using Jamii Forums mobile app
  2. DBA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bet 365 inapatika vip mbona ukiload kwenye browser inakataa wadau Sent using Jamii Forums mobile app
  3. DBA

    Jifunze kilimo cha nyanya

    MAMBO VIPI WAKUU NAOMBA ELIMU YA HII SPRAYING PROGRAM KTK NYANYA
  4. DBA

    Kupotelewa vyeti

    *Tangazo la kupotelewa na vyeti* Ndugu zangu watanzania nawasalimu majina yangu ni *Paul Alfredy Mpiluka* mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga mnamo siku ya tar 04/05/2018 majira ya saa 03:34 usiku maeneo ya zakhem mbagala Dar es salaam nilipotelewa na begi ya mgongoni kwenye gari za...
  5. DBA

    Tangazo la kupotelewa vyeti: Paul Alfredy Mpiluka wa Iringa anatafuta vyeti vyake

    *Tangazo la kupotelewa na vyeti* Ndugu zangu watanzania nawasalimu majina yangu ni #PaulAlfredyMpiluka mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga mnamo siku ya tar 04/05/2018 majira ya saa 03:34 usiku maeneo ya zakhem mbagala Dar es salaam nilipotelewa na begi ya mgongoni kwenye gari za...
  6. DBA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man u [emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48] Manu 1.15 X 6.50 westbromo 15 Shikamooo kanji[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
  7. DBA

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mi nilidhani pengine umeme kukatika kipind cha kiangazi ni sahihi kwa sababu Mvua hkn na maji ni shida ktk mabwawa sasa ni tofauti Hii ni masika mvua za kutosha mabwawa full Turbine halaf umeme ndo [emoji48][emoji48][emoji48]
  8. DBA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Double Chance hizi waungwana chukua utakazo Leo anakaa....:D:D:D:D:D CHANGA KARATA
  9. DBA

    Utajiri usioonekana kwa watu wengi Tukuyu Mbeya

    Tunasafar ndefu sana
  10. DBA

    Daa! Kweli street university kiboko,nimelizwa na matapeli wa m-pesa

    Siku nyingine mtu akisema amekosea hawez kukupata kama nia yake ni kuiba utamwambia awasiliane na mtandao wake wazicancel juu kwa juu
  11. DBA

    Wauzaji wa matofali badilikeni

    Mimi nadhani tofali iliyotengenezwa kwa cement imara na ratio nzuri ya mchanga haiharibiki kama mtoa maada alivosema ..... N.B Chukua hiyo 2.7 yako kafyatue tofali[emoji48]
  12. DBA

    Daa! Kweli street university kiboko,nimelizwa na matapeli wa m-pesa

    Pole sana mzee baba nadhani hawatokuweza mara nyingine
  13. DBA

    Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

    Mafunzo yao yanatofautiana ndugu [emoji30] [emoji30]
  14. DBA

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Levante vs Eibar Under 2.5 odd 1.57 Eibar will Winn 2.01 betway Africa Kwa ngumu zaid results Levante 0-2 Eibar odd 10
Back
Top Bottom