Tangazo la kupotelewa vyeti: Paul Alfredy Mpiluka wa Iringa anatafuta vyeti vyake

DBA

JF-Expert Member
Jul 19, 2012
218
93
*Tangazo la kupotelewa na vyeti*
Ndugu zangu watanzania nawasalimu majina yangu ni [HASHTAG]#PaulAlfredyMpiluka[/HASHTAG] mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga mnamo siku ya tar 04/05/2018 majira ya saa 03:34 usiku maeneo ya zakhem mbagala Dar es salaam nilipotelewa na begi ya mgongoni kwenye gari za [HASHTAG]#KisemvuleKivukoni[/HASHTAG] [HASHTAG]#T577DCX[/HASHTAG] begi hiyo ina vitu vifuatavyo
1. *Vyeti Original kuanzia darasa la saba mpaka Chuo kikuu*

2. *Laptop Hp proobok na adapter yake*

3. *Slot 2 za RAM*

4. *Funguo mbili za office*

NB Watanzania wenzangu naomba mnisaidie kwani vyote vilivyomo ndio maisha yangu gar ilipata hitilafu katika harakati za kujinusuru begi ilibaki ndani, hali iliporejea kuwa shwari sikupata tena begi yangu nisaidieni watanzania
*0752764700 0785314960*
*Nisaidie kufikisha ujumbe huu kwa watanzania wengine*
*Mungu Akubariki*
Screenshot_2018-05-04-16-25-37-1.jpg
Screenshot_2018-05-04-16-25-47-1.jpg
 
*Tangazo la kupotelewa na vyeti*
Ndugu zangu watanzania nawasalimu majina yangu ni [HASHTAG]#PaulAlfredyMpiluka[/HASHTAG] mzaliwa wa Iringa vijini jimbo la Kalenga mnamo siku ya tar 04/05/2018 majira ya saa 03:34 usiku maeneo ya zakhem mbagala Dar es salaam nilipotelewa na begi ya mgongoni kwenye gari za [HASHTAG]#KisemvuleKivukoni[/HASHTAG] [HASHTAG]#T577DCX[/HASHTAG] begi hiyo ina vitu vifuatavyo
1. *Vyeti Original kuanzia darasa la saba mpaka Chuo kikuu*

2. *Laptop Hp proobok na adapter yake*

3. *Slot 2 za RAM*

4. *Funguo mbili za office*

NB Watanzania wenzangu naomba mnisaidie kwani vyote vilivyomo ndio maisha yangu gar ilipata hitilafu katika harakati za kujinusuru begi ilibaki ndani, hali iliporejea kuwa shwari sikupata tena begi yangu nisaidieni watanzania
*0752764700 0785314960*
*Nisaidie kufikisha ujumbe huu kwa watanzania wengine*
*Mungu Akubariki*View attachment 770280View attachment 770281
Pole sana kijana, naamini vitapatikana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom