HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Kunavitu vinashangaza sana Tanzania wiki iliyopita nilipata fursa ya kutembelea maeneo ya wilaya ya Rungwe mkoa wa Mbeya huko tukuyu nilifika Katumba nikaingia ndani huko kuna vitu vinaendelea naamini watanzania wengi hawajui.
Kijiji cha ISEBE kuna gase inayochimbwa kabisa na inasafirishwa kwajili ya matumizi ninahakika wengi hawajui na sijui ninani anachimba nilipotaka kupiga picha nilizuiwa na walinzi .
UFUAJI WA UMEME MTO SUMA
Wachina wametega mitambo yao kwenye mto suma na nguzo wamesha supply huko
Hayo ni maporomoko ya maji ambako wameweka mitambo yao huko.
LUTILI
Sehemu hii kuna gase sijajua ni gase gani inatoka ardhini ndege hawapiti juu ya eneo hilo wakipita wanakufa baada ya kuvuta hewa ya hapo hata binadamu ukivuta hewa hiyo kichwa kinauma sana wazungu naambiwa walifika wakapima na kuondoka
KANYELELE
Hi ni sehemu ambayo napo pana gase ni jilani na Mwakaleli huko wameshazungushia fance na ulinzi upo wanasubiri kuanza kuchimba
MASEBE MWAKALELI GASE
Sehemu hii wanachimba gase ya wanatoa Cabondioxide na Oxygen wana safirisha na magari sijui wanapeleka wapi hii Tanzania inamambo .picha imegoma kupanda wakuu.
Tena kunasehemu kuna udongo ule wa kutengenezea Sahani za udongo wachina wanafanya taratibu za kuanza kuuchimba ila ni kimya kimya
Ndizi nazo zipo za kumwaga nmekula sana na wale wapenzi wa Kitimoto aka mbuzi katoriki kilo ni 5000 unakula na ndizi hadi unasema basiii jamani hayo ndio niliyoyakuta nilipokuwa huko wiki iliyopita
Kijiji cha ISEBE kuna gase inayochimbwa kabisa na inasafirishwa kwajili ya matumizi ninahakika wengi hawajui na sijui ninani anachimba nilipotaka kupiga picha nilizuiwa na walinzi .
UFUAJI WA UMEME MTO SUMA
Wachina wametega mitambo yao kwenye mto suma na nguzo wamesha supply huko
Hayo ni maporomoko ya maji ambako wameweka mitambo yao huko.
LUTILI
Sehemu hii kuna gase sijajua ni gase gani inatoka ardhini ndege hawapiti juu ya eneo hilo wakipita wanakufa baada ya kuvuta hewa ya hapo hata binadamu ukivuta hewa hiyo kichwa kinauma sana wazungu naambiwa walifika wakapima na kuondoka
KANYELELE
Hi ni sehemu ambayo napo pana gase ni jilani na Mwakaleli huko wameshazungushia fance na ulinzi upo wanasubiri kuanza kuchimba
MASEBE MWAKALELI GASE
Sehemu hii wanachimba gase ya wanatoa Cabondioxide na Oxygen wana safirisha na magari sijui wanapeleka wapi hii Tanzania inamambo .picha imegoma kupanda wakuu.
Tena kunasehemu kuna udongo ule wa kutengenezea Sahani za udongo wachina wanafanya taratibu za kuanza kuuchimba ila ni kimya kimya
Ndizi nazo zipo za kumwaga nmekula sana na wale wapenzi wa Kitimoto aka mbuzi katoriki kilo ni 5000 unakula na ndizi hadi unasema basiii jamani hayo ndio niliyoyakuta nilipokuwa huko wiki iliyopita