Kwema jamani??
PC yangu ni probook 6555b niliizima kuamka asubuhi kuwasha aiwaki fan hazunguki ila vinawaka tu vitaaa kioo akionyeshi chochote.
Ila pia kuna kama vikufuli viwili vinawaka vinazima
Poleni na Majukumu jamani.
PC yangu leo asubh niliizima kuja kuiwasha Fan inazunguka ila Kioo aki Display chochote wala kuleta Logo ya Dell ila Fan inazunguka. Ila nimeifungua kugusa processor ni inajoto sana tena sana. Msahada wenu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.